Lovery
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 1,602
- 3,396
- Thread starter
- #61
Hauwezi fahamu hali waliyonayo wakati wanapokea ujumbe huu, uelewe tu kuwa hii ndio jamii ile ile baada ya kumaliza kuperuzi humuIla kuna watu wanajua kujifariji,yaani pamoja na elimu,shuhuda na vitisho bado kuna wanaodai kuwa Ukimwi haupo...!