Thomas andrew
Senior Member
- Feb 4, 2013
- 150
- 45
pima tena baada ya miezi mi3
Afadhali nimempata tunayewaza kwa akili zinazofanana...Hekaya za Abunuasi yaani clinic wamekuja kujua kwamba mama ameathirika baada ya miezi 7? What a crap?
Anhaa...Alipimwa ila zile mambo za wewe nenda mimi nipo busy ndio sababu ya haya yote. alipata majibu akakaa kimya na mimi sikuuliza majibu ya vipimo kwasababu nilijijua nipo salama
Hii ni mojawapo ya faida ya kumiliki kibamia...Hujaelezea kwanini wewe haujaupata sasa. Umeniacha njia panda apo.
ILA
Ipo siku hili Dili LA ukimwi wafrika tutajuaga ukweli wake tuuu ... kuna vitu najiulizaga juu ya huu ugonjw Sana.
Hivi kupima baada ya miezi miwili hai detect?pima tena baada ya miezi mi3
Ukiwauliza wataalam wa afya huwa wanasema kuna baadhi ya damu huwa si rahisi kukubali maambukizi ya aina yoyote kirahisi.nadhan ni group O.Hujaelezea kwanini wewe haujaupata sasa. Umeniacha njia panda apo.
ILA
Ipo siku hili Dili LA ukimwi wafrika tutajuaga ukweli wake tuuu ... kuna vitu najiulizaga juu ya huu ugonjw Sana.
Anajua wote MABASHITE humu JF kwamba anaweza akawaletea hekaya za Abunuasi na Kalumekenge.Afadhali nimempata tunayewaza kwa akili zinazofanana...
Vibamia vinawaokoa...Ukiwauliza wataalam wa afya huwa wanasema kuna baadhi ya damu huwa si rahisi kukubali maambukizi ya aina yoyote kirahisi.nadhan ni group O.
Namfaham mzee mmoja alimzika mkewe kwa nngoma ila yeye hakuwa nao,nadhan ni vitu vinavyowezekana.