moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,006
Nimeelewa sana mkuu,Nina maana yangu kuandika hiviUmesoma kuanzia kulia kwenda kushoto.
Nimeelewa sana mkuu,Nina maana yangu kuandika hiviUmesoma kuanzia kulia kwenda kushoto.
Huku ni poa kabisa sasa hivi bila buti sili kituMshukuru Mungu na uchunge sana nyendo zako kwa manufaa ya familia yako. Mwanza wanasemaje huko Mkuu?
Ha ha haa kupata sio lazima mara 2 ili tosha kuamini.pole sanaNilikuwa na demu nimekula peku sana niliambia ana ngoma kila nikipima nasubiri miezi 2 naenda kupima tena leo ndio ya mwisho sipimi tena itakuwa nipo poa
Aisee
Ha ha haaa haina fomula ujueNitadinya taraatiibu
miaka 70 ipi, yaani unapitiliza hadi wastani wa kuishi mkuu. kula raha acha uogaNishasema ivi, raha ya dk 1 (when ejaculating) haiwezi nipotezea dira na mipango ya maisha ya miaka 70
Kuna watu ni Delta 32, waige ufe. Wapo kwa wingi nchini Gambia.Ila kuna watu wanajua kujifariji,yaani pamoja na elimu,shuhuda na vitisho bado kuna wanaodai kuwa Ukimwi haupo...!
Kama kweli haja anza dawa kuanae karibu mpaka ajisahau yani awe free kabisa raha mustarehe ghafla nendeni maabala ukampimeAisee
Kama vipi nitadinya Sikh nikioa..Ha ha haaa haina fomula ujue
Halafuuu taratibu kwa hawa wenye sugu au kuna ulie muanzisha mwenyewe?
Sasa wale wanaodhoofu mwili na kushambuliwa na maradhi nini huwa tatizo kama huyu mdudu hayupo?
Hapo kesi ndo nzito kabsaa si unajua wanawake ni dhaifu?Kama vipi nitadinya Sikh nikioa..