UKIMWI upo, tambueni thamani yenu

UKIMWI upo, tambueni thamani yenu

Nilikuwa na demu nimekula peku sana niliambia ana ngoma kila nikipima nasubiri miezi 2 naenda kupima tena leo ndio ya mwisho sipimi tena itakuwa nipo poa
Ha ha haa kupata sio lazima mara 2 ili tosha kuamini.pole sana

Hem tupe mbinu mpaka ukasalimika
 
Ila kuna watu wanajua kujifariji,yaani pamoja na elimu,shuhuda na vitisho bado kuna wanaodai kuwa Ukimwi haupo...!
 
We hujawahi kupata msongo wa mawazo ukadhoofu mwili? Na ukiwaza sana hata hamu ya chakula hupotea matokeo yake kinga ya mwili hupungua na maradhi mbalimbali huanza kuushambulia mwili
Sasa wale wanaodhoofu mwili na kushambuliwa na maradhi nini huwa tatizo kama huyu mdudu hayupo?
 
Nani alikuambia kua ukimwi ni Ugonjwa mbaya kuliko kansa ???? Acha ushamba
 
Back
Top Bottom