pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 381
- 642
Wakuu mimi si mwanabiologia, ila Kuna mambo yananishangaza haswa kuhusu Ukimwi.
Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.
SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)
SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?
Jambo la kwanza ni ueneaji, Ukifuatilia ripoti kutoka kwa wizara ya Afya utasikia kuwa Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Imepungua sana katika miaka ya Usoni.
SWALI LANGU HAPA NI KWANINI KASI IPUNGUE IKIWA IDADI YA WATU INAZIDI KUONGEZEKA MWAKA BAADA YA MWAKA NA UFANYWAJI NGONO ZISIZO SALAMA UNAZIDI KUTAMALAKI MARADUFU. IKIWA HAKUNA UGONJWA HAUNA TIBA KABISA KWA MIAKA ZAIDI YA 30 KWANINI KASI IPUNGUE WAKATI NGONO ZISIZO SALAMA ZINAZIDI KUONGEZEKA!? (MABINTI NA VIJANA WA MIAKA YA 2000 WAKO SPIDI MNO)
SWALI LA PILI NI KWANINI KUPIMA UKIMWI SI KIPAOMBELE HASA KWA NCHI ZA ULAYA. MNAOISHI ULAYA TUNAWAOMBA HAPA MTOE USHUHUDA KAMA MKIENDA HOSPITALI MOJA YA VIPIMO VITATU BORA NI KUPIMA HIV!?