Mkuu mbona maleria ina dawa lakn watu wanaendelea kupiga dili? Acha dawa ipatikane watu turudi kwenye nyama kwa nyama. Kitu naturalHii habari itafanya watu waanze zinaa rasmi. Ila biashara nyingi zitasimama. biashara ya kondomu, biashara ya matangazo na semina za malipo kuhusu utoaji elimu kuhusu maambukizi ya UKIMWI. Biashara ya ARVs.