UKIMWI kwisha habari yake!

UKIMWI kwisha habari yake!

Hizo story za dawa ya ukimwi kupatikana nimeanza kuziskia mda mrefu sana huwa kila cku zinaibuka
 
Malaria has quite effective drugs but still is one of the leading cause of deaths and hospital admissions!
uongo mbona mi nimeumwa malaria juzijuzi nimepiga bapa la konyagi tu malaria imesepa siasa mbaya sana kwenye afya za watu
 
Acha hizo! Mbona kiarabu hakijaathiriwa na lugha nyengine yoyote???
hata kilatini hakijaathiriwa na lugha nyingine mkuu ishu hapo ni ukongwe wa lugha ,kiswahili ni lugha ya juzi sana ndio maana imeathiriwa maneno kama shati,chai ,pesa ,meza,bodi,soko na mengine mengi yote tumetohoa kwenye logha kongwe
 
Hapa tulio soma HKL ngoja tusubiri uzi utafsiriwe lakini kwa haraka haraka nadhani unahusu "Ukimwi Kwisha Habari yake"
 
Hapa tulio soma HKL ngoja tusubiri uzi utafsiriwe lakini kwa haraka haraka nadhani unahusu "Ukimwi Kwisha Habari yake"
HKL si ndo nyumbani kwa lugha mkuu nadhani sisi wa pcm ndio tusubiri comments
 
HAKUJAWAHI KUWEPO ,HAKUNA NA HAKUTAKUWEPO KITU KINACHOITWA H.I.V. ukimwi upo na unasababishwa na mambo mengi sana ila H.I.V is just an imaginary virus na havijawahi kuexist
 
Hiv virus, havijawahi kuwepo, hizo ni story za kuendelea kudanganya wapumbavu,
 
Unashangilia sana mkuu! Teheteheteheeeeheee!
Haya mambo bwanaaa kuna jamaa nilimshuhudia kavimba tumbo kakondeana analia tuuu tumbo tumbo anahangaika vibaya mno alikuwa na HIV hadi alikufa
 
Back
Top Bottom