UKIMWI kwisha habari yake!

UKIMWI kwisha habari yake!

Unaposema “it can eliminate up to 99% “ that means bdo unakuwa na 1% of the virus in the body sasa hyo ni treatment au ndo kupunguza makali
 
[QUOTE="Shimba Jr, post: 29100681, member: 490002 naposema “it can eliminate up to 99% “ that means bdo unakuwa na 1% of the virus in the body sasa hyo ni treatment au ndo kupunguza makali[/QUOTE]

Sidhani wewe hapo ulipo uko 100% fit! Hiyo 1% ni very negligible!!!
 
Imenibidi kuzama google kwanza nione hii Gammora drug. nkakuta ugunduzi umetangazwa kama siku 6 nyuma ivi

shida hii kitu kufika kwetu tunaweza kuwa tusha kata moto maana gharama yake ni kubwa mno
Shingapi bei yake? Ila Serikali watasubsidize ila watatokea jamaa watatengeneza feki yake itakua hatari sana
 
Kwani vina uhusiano gani kama vyote vitakuwa vinatibika? Kwani AIDS ni ugonjwa pekee unaosababishwa na virus? Mafua pia yanaletwa na virus


Sina uelewa mpana na ishu za afya. Ila kwa elimu ndogo niliyokuwa nayo Magonjwa yanayosababishwa na Virus ni complicated sana
 
Hii habari itafanya watu waanze zinaa rasmi. Ila biashara nyingi zitasimama. biashara ya kondomu, biashara ya matangazo na semina za malipo kuhusu utoaji elimu kuhusu maambukizi ya UKIMWI. Biashara ya ARVs.
Gharama yake bila shaka itakuwa kubwa
 
Hakika hii ni hatua muhimu sana, 99% maana yake ni likely 100%. Kama tulianza na wale wa 70%..80%...90%.. na leo ni 99% it's almost on the line.

Na inaonekana dozi itakuwa ni mda mfupi sana walau wagonjwa wapone kwa hiyo miezi 2-3 ili waendelee na maisha yao.

Hopefully, Ukimwi utakwisha labda tu iwe shida katika kununua hiyo dose
 
Agenda yao kwasasa kwa bara hili

Punguza watu
Hawa majamaa wanazaliana sana
Wao hawana Future kwa kufa kila siku,kisha kukosa vizazi
na Ushoga unaowaandama katika maisha yao

Vijana kwao ni Wachache sana kuliko Wazee
Acheni kudanganyana mkuu..hizi tabia za kiafrica kuzaliana sio za kujsifia unakuta mtu anawatoto sita anaanza kuomba msaada kwa serikali imsaidie nahuku kazaa mwenyewe ..zaa watoto ambao utawamudu utawasomesha shule bora,utawalea kwa ubora sio unasaka idadi tu bila quantity ...in short wazungu wengi wanaona kuwa na watoto wengi sio issue hio in akili za kiafrica tu kuzaliana hovyo coz sisi waafrica ndotunachokiweza hicho tu ngono tuuu kazi hatuwezii
 
Yani hapo nimeona neno ARV tu mengine hayo nawachia waisrael .... Yani habari inasema Israel mtoa roho za watu siku hizi hasikii ARV tumekwisha.
 
But mind, viruses are capable of changing their genetic code and that is where the problem lies!
This is a big problem now, even with bacteria or plasmodium parasites such as the one causing Malaria.

This is why Chloroquine or Penicillin is practically ineffective in places like Tanzania.
 
Wamekuwa wakisema hivyo alafu wanapotea wakutuacha tukishuhudia ndugu zetu wakifa siku hadi siku. Nitaamini baada ya kusikia inapatikan Tanzania. Pia watu kadhaa kukiri kupona
 
Unafurahia kwa kusoma hii post, unapanda juu ya kitanda unaruka ruka unajigonga kwenye feni ,unakatwa halafu unakufa
 
Kwa kifupi Waisrael wamevumbua dawa ya ukimwi ambayo ufanisi wake ni 99%! Matibabu ya dawa hii kwa maelezo yao hayana athari katika cells zingine kama ambavyo dawa ya kufubaza virus vya ukimwi inavyofanya!
Soma vizuri hapo kwenye ufanisi.bado unabaki na percent moja mwilini
 
Kwa kifupi Waisrael wamevumbua dawa ya ukimwi ambayo ufanisi wake ni 99%! Matibabu ya dawa hii kwa maelezo yao hayana athari katika cells zingine kama ambavyo dawa ya kufubaza virus vya ukimwi inavyofanya!
Uongo tu hizo siasa za Kitabibu,ukimwi haujapata dawa Hadi Leo.
 
Back
Top Bottom