KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Hongera. vipi lakini kwenye kupokea majibu ulitulia bila hofu?Mi mwenyewe nimetoa damu hivi karibuni, sina homa ya ini, kaswende, ukimwi na ni O+.
Yaan ni nomaa aseeMtatuua na presha bana, ah. Siku mbili mfululizo ni thread za matukio ya kujiunga na "GRIDI YA TAIFA" mwanzo mwisho.
Hatukai kwa amani wala hatupumui.
Hofu ya kawaida tu.Hongera. vipi lakini kwenye kupokea majibu ulitulia bila hofu?
Labda wazee wa hisani ya watu wa Marekani wamekata misaada, wanatuhamasisha kupima ili NGO's zao zisije zikafa.Mtatuua na presha bana, ah. Siku mbili mfululizo ni thread za matukio ya kujiunga na "GRIDI YA TAIFA" mwanzo mwisho.
Hatukai kwa amani wala hatupumui. Sisi wengine tuna moyo midogo kama piritoni.
Tatizo unajua nini man,hii kitu imetimba hadi kwenye ndoa hivyo unayemwamini kinyaaaaaaaaaaama anaweza kukudedisha pia.
Kumbe hujapima yelewiiii!!!Sina hata moja na nitapima siku ya kwanza nitakapo udhuria kliniki.


Vipi hali ya kutapika, imepungua kidogo..??Sina hata moja na nitapima siku ya kwanza nitakapo udhuria kliniki.
Pumbafuuu kabisa hawaaaaaKila ninapopita Jf ni UkimwiiMambo ya kizamani hayoo
Ungekuwa ukipima na ukikutwa unao unapewa dawa,ningeenda kupima, ya Nini kujipa presha ya bure, waache wenye viherehere waende


wewe ushaambiwa ugonjwa hauna dawa unapima kutafuta nini?Are you expecting?Sina hata moja na nitapima siku ya kwanza nitakapo udhuria kliniki.
Wewe si ndio yule kijana wa kula tunda kimasihara!?Kila ninapopita Jf ni UkimwiiMambo ya kizamani hayoo

