UKIMWI bado upo mazee, usiuze mechi kijinga!

UKIMWI bado upo mazee, usiuze mechi kijinga!

kupima inataka ujasiri sana,,,,,...tuongee sana na watoto wetu, wa kike na wa kiume.....huu ugonjwa ni hatari sana...tukumbuke hata wasaidizi wetu wa majumbani.....kuwatahadharisha juu ya hili jinamizi....nna hakika familia chache sana hazijapitiwa na hili kitu....nyingi ni wahanga.....watu wanakazana peku peku....hakuna anaekumbuka ndomu...kweli ndomu unaondoa utamu wote ina inaepusha mengi.......takwimu zinatisha....kanda ya kusini......na ndio kuna maajenti wa wasaidizi wa majumbani mwetu,,,,kutupikia, kulea watoto......UKIMWI UPO......UNAUA...mleta siredi asante sana...
 
mpatto,
Ili kuondokana na hizi wasiwasi zisizo na maana, nashauri serikali iruhusu vipimo vya UKIMWI viuzwe hata maduka ya dawa MUHIMU za binadamu. Kama ilivyo kwenye vipimo vya malaria na mimba.
Nyie dawa yenu kuwapima kwa lazima. Ngoja nimshauri Mheshimiwa Rais Magufuli serikali yake ipeleke mswada bungeni wa kupima watu kwa lazima.
 
nimependa uandishi wako mazee kula gwala nini ...... Sema umetumia mastor/malanguage ya kistreet kusanua nyomi kitaaa na imepenya iyo.
 
Nyie dawa yenu kuwapima kwa lazima. Ngoja nimshauri Mheshimiwa Rais Magufuli serikali yake ipeleke mswada bungeni wa kupima watu kwa lazima.
Ungefafanua vizuri mkuu. Kupima watu kwa lazima kivipi!!?. Kwasababu hili tayari lipo. Mfano kdogo Ni mama mwanamke alienda hospital kupika ujauzito LAZIMA apime vvu, mtu yeyote anayeumwa hufanyiwa vipimo mbalimbali na vvu LAZIMA apimwe
 
Siku hz UKIMWI watu wameupotezea sana na hzi kondom ndo zimekuuja kuongeza maambukizi maana watu wanatumia siku moja tu baada ya hapo ni kavukavu tuu
 
Ungefafanua vizuri mkuu. Kupima watu kwa lazima kivipi!!?. Kwasababu hili tayari lipo. Mfano kdogo Ni mama mwanamke alienda hospital kupika ujauzito LAZIMA apime vvu, mtu yeyote anayeumwa hufanyiwa vipimo mbalimbali na vvu LAZIMA apimwe
Wanatakiwa wanaopemwa wawe aware of
sio hiyo ya kuwapima kisirisiri halafu mhusika hajui majibu yake
 
Hali ni mbaya maeneo mengi Geita inasemekana maambukizi yameongezeka kwa asilimia tatu ( 3%) huku malengo yakiwa ni kupunguza kufikia asilimia 3.1 mwaka 2020.
 
@PATIGOO,Kwa hizo dalili sina ngoma mkuu
 
Back
Top Bottom