Ukimtongoza mwanamke halafu akakujibu hivi, anakua na maana gani?

Nyakati hizi bila PESA Hawa viumbe utaishia kiwaona dizain Wana dharau.

Mimi Kama Sina hata Mia mfukoni Wala sihangaiki na mwanamke maana huku Ni kitafuta aibu za bure au kujitia hasira zisizo na maana.

Ukiona mwanamke anakupa k bila shida yoyote basi jua kuna kitu katarget means una kitu special ambacho kwake kina faida Fulani.
Mimi Kama Sina pesa hata jogoo hawiki kabisa yaani nakosa nguvu za kula papuchi.
Sasa utapaje nguvu huku unawaza nikiombwa pesa sijui nitampiga sound gan ,yaan unafanya mapenz huku umejaa wasiwas Kama mwiz Fulani.

Ajabu ukiwa na pesa kwa wallet hata kuomba hawaombi pesa ,sijui why hii kitu ,Sasa uwe umechoka kipesa unakutana na sms za kuomba pesa na hapo inakubid uwe mpole.

Kanuni Ni moja tu huna pesa vunga jifanye huwaoni kabisa itakusaidia.
 
Hapo kimsingi huyo demu kakuwekea password😅 cha kufanya kuvunja barrier we mwagika hotelini kama unaweza kisha mvutie waya aje, mtumie nauli kwanza af mwambie akukute sehem flani kwa ajili ya lunch mupate kufahamiana zaidi.
 
Mfano umempiga manzi sound,afu akakujibu NO COMMENT anakua na maana gani exactly?
FB_IMG_1642641609186.jpg
 
Yupo 50/50 hajakubali hajakataa,, kakupa nafasi ya wewe kujichukulia hizo 50 nyingine, unatakiwa ujioneshe umpe sababu kwanini akukubalie.

-fanya yale mambo ya kijentromani
-mpe pesa
-mpe zawadi
-usiwe kupe bin king'ang'a
-usimkere na mvua ya mimeseji umekula, umekula nini, umevaa, umevaaje, jibu langu, sasa sasa....na mengine jiongeze
Maneno kuntu

Nijimeseji ni tatizo
 
Yupo 50/50 hajakubali hajakataa,, kakupa nafasi ya wewe kujichukulia hizo 50 nyingine, unatakiwa ujioneshe umpe sababu kwanini akukubalie.

-fanya yale mambo ya kijentromani
-mpe pesa
-mpe zawadi
-usiwe kupe bin king'ang'a
-usimkere na mvua ya mimeseji umekula, umekula nini, umevaa, umevaaje, jibu langu, sasa sasa....na mengine jiongeze
Hamsahaugi kutaja pesa hata kwa bahati mbaya
 
Back
Top Bottom