AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Umeona eh? lol
Mpaka mwenyewe unaingia line na kumqoute pale nyuma aliposema "Ameen!" lol.... Nimeona dear...
Umeona eh? lol
Did I "like" that? Nilishindwa kugonga Like hadi nielewe maana ya Ameen, but alipo fafanua ilibidi nikagonge kule... lolMpaka mwenyewe unaingia line na kumqoute pale nyuma aliposema "Ameen!" lol.... Nimeona dear...
Did I "like" that? Nilishindwa kugonga Like hadi nielewe maana ya Ameen, but alipo fafanua ilibidi nikagonge kule... lol
How is valentine's day treating you so far? Coz na jua kwa wengine maybe ndio inaanza sasa hivi... lol
Bado saaana! Ndio kwanza lisredi linaanza kuchangamka!Mmemaliza niiclose hii sredi?
We umejifunza nini?Mmemaliza niiclose hii sredi?
Haswaaaa, naweka kambi hapa! lolBado saaana! Ndio kwanza lisredi linaanza kuchangamka!
Kasema it is in preparation, let's be patient Husney.
Bado mnapiga porojo za ukimtaka mwanamke?
Ngoja nianzishe singles pub Dar. Hakuna kutongozana huko. Unamuona kama kakukalia sawa unaulza "kwako au kwangu'? anakujibu, mchezo kwishnei. mpaka leo mnajifanya hamjui "one night stand".
Hamjatembea tembea duniani? Sio kule wanakojiuza, humo ni mahali pa heshima na hajiuzi mtu,
Kumbe hujaelewa darasa. Poleeeee. These are hints to win a woman's heart, not just her body.
I am so happy for you, happy valentine day! me naendelea na mpango wango wa ku-MasturDate leo. (yani this word from King'asti kills me! :lol: )
He just came in this (oh so) romantic thread anaanza kuongea mambo ya one night stand... inahu?Bora tu usiwege unalala! Manake hapa tu una maakili hivi, ukianza kulala je?
Only the wise true masculine men knows the difference btn winning a woamn's body and a heart!
Done mkuu, sorry for the plagiarismSasa I demand u acknowledge the source, lol!
Na tulikubaliana tunapunguza haka katabia, mbona unakaendekeza sasa?
Hahahaha, mbona umenitumia kama mfano? Alter, as much as naunga mkono hoja hili nakataa kabisa kutajwa kama mfano wa mwanamke asie tongozeka!!! kabla sijaolewa nilikua natongozwa sana mjue. lolKaka na wifi, kwanza niwashukuru for being my valentines, I lov and miss u guys all the time. I learn a lot from u, and u ar always there for me.
Kaka, ombi tu, ukimaliza part II ya wadada kutongoza wanaume, wifi naomba uandae ya part III ya wadada kutongozeka. Nadhani haswa kazi ipo kwenye part 3, what makes king' tick with the guys ambacho RR doesn't have? Manake unakuta mdada mremboooo lakini ana rafiki yake sura mbaya kama ya king', shape ya nyanya mshumaa lakini the guys sees her and not 'her'?
Haya, valentine yangu ilikuwa nzuri before u ask.
...usijali kamanda,"mapenzi sawa na majani,....!"....siku maradhi ya kupendana yakikuvaa utuambie vile vile.
Haya. Zitakapo isha hizo na akumwage for somebody else usije na Uzi hapa. we si unataka ya kununua? Hapa tunaongea ile free and priceless.Hiki hapa, hakuna zaidi