Ukimtaka Mwanamke/msichana...the Do's and Don'ts

Shem hivi ukiwa unaongea kuhusu habari zako nayo ni umbea? I wonder...
mbona sasa hapo utakua umenikaba nisiwe na brag?
Happy Valentine darling shem.
Shem limbwata lako kiboko. Leo chama limepwaya. Waweza mwelekeza kongosho ulipolinunulia? Mi luvs limbwata of this kind asee. Happy valentines darling shem. Mi niko na my darling valentine nanyonya na kudeka. This mama of mine is an angel on earth.
 
Wakuu mabibi na Mabwana

Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.


Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.

Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:

  • Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
  • Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
  • Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
  • Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
  • Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.

Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.

Happy valentine!:poa
Tumshukuru Kaizer...
 
Wakuu mabibi na Mabwana

Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.


Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.

Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:

  • Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
  • Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
  • Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
  • Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
  • Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.

Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.

Happy valentine!:poa
hahahah acha uongo kwa asili si wanaume ni nchi ,mwanamke ni mwananchi anaenda nchi ambayo sheria zake anaweza wengine wanapenda nchi za kiislamu,kidikteta ,kidemocrasia ,kijamaa, e.t.c so just be you and pop ya true colors mapema ,its magic someone will come 4 u.
 
Shem limbwata lako kiboko. Leo chama limepwaya. Waweza mwelekeza kongosho ulipolinunulia? Mi luvs limbwata of this kind asee. Happy valentines darling shem. Mi niko na my darling valentine nanyonya na kudeka. This mama of mine is an angel on earth.


Shem ODM umesahau taratibu zenu? lol, Limbwata unanunua wewe/yeye alafu ananipa nimpe.... hata hivo mbona naona kama iko vile vile hamna kilichoongezeka? Regards to your mama... tell her ADI is so thankful she gave birth to her darling shem...
 
Na kukubaliana na matakwa ya mtongozaji nayo ni art au unakuwa tayari umenasa mtegoni mwa mtongozaji?


Hata kukubaliana kwa matakwa ya mtongozaji nayo ni art, but art applied ni ndogo mno ukifananisha na ile applied na anae tongoza... Mara nyingi watongozwaji hua tuko weak at heart, ubongo kua applied ni mara chache (hii hasa sisi wanawake)
 
Mkuu, hao waadilifu mbona kama karibu wanakwisha kabisa kwenye hizi enzi zetu? Simaanishi kwamba hawapo, lakini kama Marijani (RIP) alivyoimba, '.... kwenye watu kumi binadamu mmoja", naye kumpata ndo shughuli!

................endelea na kale kasehemu ka wimbo wa huyohuyo Marijani Rajabu kasemacho..............."penye udhia penyeza............", we nacheza na pesa wewe,..............itajileta yenyewe haitaweza kusubirisha mimi atiiiiii!
 
Lazima tuende na wakati, Kwanza ukiona umetumia energy kubwa sana kutongaza hiyo iko proportional na energy utakayoitumia kwenye ku keep that relationship alive. Dont worry about a think, you will find your match without sweat. Msichana mmoja unaweza ukatumia energy kubwa kumtongoza at the same time kuna mwingine hata hamtongozi anavuta tu. Na hizi tricks nimezungumza sana haziko the same kwa kila mtu wengine zote zilizotajwa hata hazitumiki. Kuna msichana mwingine usipomdanganya humpati milele, pale utakapomdanganya tu umempata.

Wakuu mabibi na Mabwana

Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.


Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.

Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:

  • Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
  • Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
  • Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
  • Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
  • Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.

Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.

Happy valentine!:poa
 
Wakuu mabibi na Mabwana

Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.


Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.

Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:

  • Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
  • Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
  • Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
  • Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
  • Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.

Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.

Happy valentine!:poa

Happy Valentine My Big shem,
Hapo msg send and delivered kwa mhusika lol!
Mpe hi my big Sisy hapo Bisaidi yako!!!

 
:A S embarassed::A S embarassed: RR...what was to be expected jamani...I am Kaizer, and I will remain just that....Happy valentine too RR....:busu
Thank you Kaizer, happy valentine day too. :)
I expected something in line with what you have posted before. lol

Alter.... frankly speaking.... I did not expect this either.... Nilifikiri mambo ya kikazi zaidi ambayo huniumizaga tumbo... enways I am so glad. I think nipokee hizo pongezi thou still holding my breath...lol... Thanks hun', valentine leo nishaona dalili; It will be Great! (Of coz hii post nimeiweka katika ignore list yake... hataweza soma)
I am so happy for you, happy valentine day! me naendelea na mpango wango wa ku-MasturDate leo. (yani this word from King'asti kills me! :lol: )
 
Back
Top Bottom