Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,710
- 54,582
Barikiwa sana katika hilo🙏Kwa habari ya kiroho nina watoto wengi humu.
Barikiwa sana katika hilo🙏Kwa habari ya kiroho nina watoto wengi humu.
Mi ni mkimya sana na huwa sipendi ugomvi hata familia yangu inalijua hilo ila siku ile sikutaka kuwa mnyonge bi mkubwa akivunjiwa heshima wakati hata yeye sio mkorofi kabisa. Humu wengi wanamfahamu anajulikana sana ni vile tu tunatumia fake ID.Bimkubwa hapo moyoni alikuwa anajisemea kidume nimepata
Nimeishia hapo uliposema jinsia ke akikubali vile umempenda, umemjali na kumlinda atakutii,
Hapo inategemea, mwanamke anachojali ni hisia zake kwako, ke hajali kabisa kama umemnunulia gari, umempa Figo kuokoa maisha yake, umemaliza miezi 59 kumtongoza, umemsomesha chuo, ke hajali unampenda kiasi gani, ke hata umpende vipi na kusacrifice vipi kwa ajili yake, kama tangu mwanzo alikuwa anakuona nyani ataendelea kukuona nyani tu, kwanza ke wengi wa sahivi ukiwaambia unawapenda, hata kama ni ukweli, kichwani watakuona wewe ni muongo na mnafiki unaetaka kula papuchi halafu utembee, kumbe kiuhalisia unampenda kweli Kasie
We Nini lakini🤣🤣🤣Baba hebu mtulize basi?
Hapo kwa mama nipo, kuna siku nikiwa mdogo konda alimzingua mama na maneno machafu kisa amechagua kupanda gari tofauti na yake, sijui kule kujiamini kulitokea wapi.
Wewe ni mbinguni moja kwa moja.Si unazijua tabia za makonda wengi zilivyo na maneno yao machafu machafu, afadhali hata makonda wa miaka hii wana ustaarabu kidogo, miaka ya nyuma kazi ya ukonda ilikuwa inafanywa na wahuni sana kwahiyo mambo mengi ni uhuni uhuni tu. Nilimjia juu yeye mwenyewe akanywea, mama ananivuta mkono ananiambia twende achana nae asije akakupiga bure, nikamwambia athubutu aone kama hajalala jela, watu wengine wakaingilia kati kumkosoa vikali konda mpaka akamuomba mama samahani.
Walindaji ndio wawindaji.. niongeze sauti au nipunguze...?
Bibi wa mahaba, sijui nielezeeje nnavyompenda na kumkubali mama yangu. I wish nije nipate mke mwenye tabia kama zake.Nakuelewa vyema....🥰
Ni jambo la asili japo si wote wanapata hii hali.
Makonda wengi wanazinguaga sana hata huyu mwingine wakijani 😂Wewe ni mbinguni moja kwa moja.
Mimi unitukanie mama yangu au mpenzi wangu mbele yangu...nakuwa mbwa nidiyefaa...utajuta kufungua mdomo.
Bibi wa mahaba, sijui nielezeeje nnavyompenda na kumkubali mama yangu. I wish nije nipate mke mwenye tabia kama zake.
Mwambie kijana kazi tulishaimaliza mda sana, asigeuke Sodoma tena!!🤣🤣Haamini kama Sodoma inaungua🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Kwa hiyo tumeumaliza mwendo?Mwambie kijana kazi tulishaimaliza mda sana, asigeuke Sodoma tena!!🤣🤣
Hakuna wa kuingia katikati tena, ni mwendo wa kufurahia uumbaji na kucheza bustanini tu Jo wangu🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo tumeumaliza mwendo?
Kuna Kijana Mmoja mtaani kwetu alikua analinda hivihivi kumbe analindia Wenzake Mwaka jana yule Binti kaolewa na Msela Wa Dar Nyie😂😂