Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Sasa bi mkubwa, wanaozulula kama pepo mchafu,leo lodge hii kesho ile, badae kwenye gueto la njemba flani,utamuona anakatiza mitaa,anashuka mabonde na kuruka mitalo, anaendaga kutafuta ulinzi huo au?? Baba yake anakuwa anajua amezaa pepo? Ungesema hapo zamani. Kwa sasa,hapana. Kote kuliko na elfu 5 tu,haiachi,hata kama huyo mnaemuita mme wake anazo za kutosha. Wana kazi ya kukusanya vihela vidogo vidogo kama tu gari la taka mitaani

Nakuelewa vyema,

Yote haya yanafanyika kwenye jamii, tunaona na kusoma yaliyoandikwa....

Lakini.....

Kama kizazi cha zamani kiliweza haya, kwanini kizazi cha sasa kinazurula huku na kule...?? Shida ilianzia wapi? Nini kifanyike shida iishe?

Waliosema kila lenye mwanzo lina mwisho, tuwasubirie siajabu kizazi kijacho watakuwa na hulka za vizazi vya zamani na kurejesha utulivu na heshima kwenye jamii.
 
Wooow......!!! Nimepata namna unatamani iwe.....

Iko hivi kuna nguvu za asili kwenye hili tufe tunaloishi. Usiache kufanyiq kazi matamanio yako, fanya matamanio yako kuwa lengo lako ... sijui nielezeeje ila kuna usemi positive poles attracts positive energy.

Weka nguvu hapo kwenyw hayo matamanio, fanya mantra and the like...

Si mtaalamu kwenye hayo ila naaminini kitu kinawezekana hata kama matokeo yake ni asilimia 5 ya 100. Ukiamini bila wasiwqsi wowote huwa.

Nakutakia heri kwenye mema yote uyatakayo.
Na iwe hivyo bibi, naomba sana iwe hivyo hata kwa kiasi kidogo. Huyu mama ni best of the best kwangu najivunia sana kuwa mwanae.
Msinicheke huwa akinitumia sms nascreenshot nahifadhi kwenye email nikiwa napitia magumu nikizisoma zinanipa nguvu na faraja sana, tukiongea kuna muda naishiwa maneno ya kumwambia ila sitamani simu ikate.
Kumwambia "nakupenda sana mama yangu" ni kawaida mno kuliko kumuweka status na makapsheni ambayo kuna muda hata kuona haoni. Na ndivyo wengi wafanyavyo wanawafikishia ujumbe watu ambao sio wahusika na wahusika hawajui chochote.
 
Ndo maana mi hapo alipoacha vidoti,nikatamani nijazie na Hawuzigeli

Jamaniiii......

Kiukweli kutoka chini ya sakafu ya moyo wangu......

Mwanaume mwenye mkewake anayehusiana na mdada wa kazi wa nyumbani kwake mwenyewe..... God forbid.... I hate that.

Bora ukanunue huko au uchukue baa medi au mfanyakazi mwenzako ofisini ila sio hausigeli jamaniii......

Kama hujaoa na unamtongoza dada wa kazi kwa minajili ya kutaka awe mke wako, nabariki hilo jambo, ama laah kama dini inaruhusu awe mke wa pili ila sio kumnyapia usiku wakati mkeo amelala chumbani au kumvizia mchana wakati nyumbani hakuna mtu.....🤨
 
Tupige hatua mbele zaidi.

Yesu asema wapendeni maadui zenu na kuwaombea wanao waudhi.

Ubarikiwe.

Si rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano....

Si rahisi kwa tajiri kuuingia ufalme wa mbinguni....

Ni rahisi kusoma maelekezo kuliko kutenda....

Imeandikwa, mtawatambua kwa MATENDO YAO.

Sinaga chuki na mtu/watu walionikwaza na kunikera kwenye hili tufe. Kiuhalisia wapo, nasamwhw chapu na kuacha wapite hivi....

ILA, sijafanikiwa kuwapenda kwa kuwaombea mema, maana yake siwaombei mabaya, siwachukii wala hawako hata kwenye maisha yangu na wakijileta karibu yangu kwa namna moja au nyingine... sicheki na KIMA, uso wa mbuzi, uso wa kazi...

Unahitaji nini, kama naqeza kufanya nafanya siwezi pita kule dunia ina watu wengi sana hii watakusoti tuu.

Sitakagi shari na sipendi purukushani.

Binafsi nina huo udhaifu sijui kama natenda dhambi ila simtambui kama adui yangu sababu nilishamsamehe ila siwezi sahau aliyonifanyia na lumbukumbu ya matendo yake kwangu huwa uzio wa kukaa nae mbali.

Kaa huko nami huku amani iwepo.

Nisamehewe bure tuu kwa hiyo dhambi.
 
Katika kuitembelea bible
Nikafika mpaka warumi 12:14
Neno lake halijapishana na ulichokiandika wewe.

Je ni kweli twaweza pendana pasi na unafki? Waweza mbariki anayekuudhi??
Ile warumi 12 karibu mistari yote inazungumzia mapendo kwa adui

Inawezekana kwa neema tuu.

Ni hilohilo neno la Mungu limesema hivyo.

Bila neema ya Mungu, si rahisi.

Akina mie nisieweza unafiki.... nahitaji hiyo neema haswa.
 
Jinsia ya KE akikubali vile umempenda, umemjali na kumlinda, atakuheshimu na ATAKUTII.

Huu mjadala ni mpana sana ila akili yangu ililenga hapo kwa ME kumpenda, kumjali na kumlinda KE.[emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app


Asante kwa kutilia mkazo na msisitizo.
 
Jamaniiii......

Kiukweli kutoka chini ya sakafu ya moyo wangu......

Mwanaume mwenye mkewake anayehusiana na mdada wa kazi wa nyumbani kwake mwenyewe..... God forbid.... I hate that.

Bora ukanunue huko au uchukue baa medi au mfanyakazi mwenzako ofisini ila sio hausigeli jamaniii......

Kama hujaoa na unamtongoza dada wa kazi kwa minajili ya kutaka awe mke wako, nabariki hilo jambo, ama laah kama dini inaruhusu awe mke wa pili ila sio kumnyapia usiku wakati mkeo amelala chumbani au kumvizia mchana wakati nyumbani hakuna mtu.....🤨
Teh teh teh teh sasa hii mijanamke myenzio siku hizi mingi vibaka,mijizi balaa. Na huko nje mizinga haiishi. Kwa hiyo unaangalia wapi penye unafuu. Afu sweetie Kasie nikwambie kitu!? Wale wadada balaaaaa. Hawafui mzigo kwa Imerial sijui nini,sasa la hapo home mbali na wizi,unalitoa mtaani kwao na asili yake,likifika kwako lianze kujichubua,ukute lina rangi kama 5 au sita hivi. Si kenge sijui mjusi gani. Af mdada wa watu mara weee,ebu maliza nilale mi nimechoka,hutokaa usikie. Akifua,nguo zitatakata,akipika,kweli wamepika. Kwanza unajua nini, naanzisha kampeni ya kuwafanya mpango wa kando. Mpe tu elfu 10! Utapiga hadi uchoke. Utakuwa unajiongeza mwenyewe. Sema tu uombe usikutwe na bi Mwakarobo. Weeeee utatamani ufe
 
Inawezekana kwa neema tuu.

Ni hilohilo neno la Mungu limesema hivyo.

Bila neema ya Mungu, si rahisi.

Akina mie nisieweza unafiki.... nahitaji hiyo neema haswa.
Neema ya kuliwa pamoja na mdada wa kazi wako?
 
Jamaniiii......

Kiukweli kutoka chini ya sakafu ya moyo wangu......

Mwanaume mwenye mkewake anayehusiana na mdada wa kazi wa nyumbani kwake mwenyewe..... God forbid.... I hate that.

Bora ukanunue huko au uchukue baa medi au mfanyakazi mwenzako ofisini ila sio hausigeli jamaniii......

Kama hujaoa na unamtongoza dada wa kazi kwa minajili ya kutaka awe mke wako, nabariki hilo jambo, ama laah kama dini inaruhusu awe mke wa pili ila sio kumnyapia usiku wakati mkeo amelala chumbani au kumvizia mchana wakati nyumbani hakuna mtu.....🤨
Hivi, si uzame mtaani basi utufanyie kautafiti kidogo. Kwa nini wale madada huwaga watam kuliko wa maza hauzi wao?🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakuelewa vyema,

Yote haya yanafanyika kwenye jamii, tunaona na kusoma yaliyoandikwa....

Lakini.....

Kama kizazi cha zamani kiliweza haya, kwanini kizazi cha sasa kinazurula huku na kule...?? Shida ilianzia wapi? Nini kifanyike shida iishe?

Waliosema kila lenye mwanzo lina mwisho, tuwasubirie siajabu kizazi kijacho watakuwa na hulka za vizazi vya zamani na kurejesha utulivu na heshima kwenye jamii.
1. Shida hela. Iondolewe kwanza.
2. Af, wanawake mnazaa sana watoto wa kiume,hivyo mmekua chanzo cha wizi wa waume za watu. Liangalieni hilo.
3.Mtoto wa kike akianza kujitambua tu,hata anatamani amnyang'anye mama yake mchepuko.
4. Kabla ya mambo ya shule kuenea,mambo yalikua shwali. Mtoto wa kike anaenda boarding, kadude kake kanafanya kazi kama ya mashine ya kusaga na kukoboa. Aiseee.

5. Vyuo vikuu,ndo tabu usiseme. Mtu ameanza kujitambua. Sasa anauza utazani unga ulooza.
Kwanza acha niishie hapa. Bora tu tuendelee hivi hivi. Bi mkubwa anazaa watoto, mdada wa home anatoa utamu.

Sema Amina
 
Back
Top Bottom