Kwahiyo nyie wanawake kwenye mahusiano mmejiwekea kuwa ni watu wa kufanyiwa tu, nyie hamfanyi chochote Kasie
Teh teh teh 😃😃 sio kila kitu lazima ufanye aiseee......chukulia kawaida tu.Kuna Kijana Mmoja mtaani kwetu alikua analinda hivihivi kumbe analindia Wenzake Mwaka jana yule Binti kaolewa na Msela Wa Dar Nyie😂😂
🙌🙌Yani nguvu Huwa zonaniisha nikitaka tu kufanya hayo 😂😂😂Wewe labda Yesu akusaidie uwe jasiri😂
Hujajaliwa hiyana mama, una limoyo la peke yako, mbingu ni yako mamaAahahahahhaaa nipo Mkuu, sina neno wala hiyana na mtu.
Angalia usiteswe na wasaliti, songa mbele kama injili rafiki🙌🙌Yani nguvu Huwa zonaniisha nikitaka tu kufanya hayo 😂😂😂
Nimekuheshimu sana, hivi ndivyo wanaume tunatskiwa kuwa.Tubarikiwe sote mkuu.
We ni mlinzi wangu Hadi wa kiroho,🤦Mlinzi si mbwekaji? A.k.a dogii
Kwa habari ya kiroho nina watoto wengi humu.We ni mlinzi wangu Hadi wa kiroho,🤦
Kwakweli life is too short,nitakuja nipate Somo la kuwa jasiri 😀😀Kwakweli mie toleo la mwisho la kubebika 😂😂😂Angalia usiteswe na wasaliti, songa mbele kama injili rafiki
Mkuu,Nimekuheshimu sana, hivi ndivyo wanaume tunatskiwa kuwa.
Utanitembelea tafadhali kuna barua yako
🤣🤣🤣Ukiona bado unamuangalia ex anatoka na nani ujue bado unampenda...we usimsingizie ERoni wangu mtulivuuu mwenyeweWala sina shida na wewe.
Pili sinaga adui..ex sio aduoi
Naogopa unavyomshobokea na jamaa kala jiwe hatari...ili isimharibie😂