Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,720
- 208,989
Tena utandike mkeka uweke na kigodoro ulale, maana kukaa pekee utachoka sana.😂😂
🤗🤗 aya nimekaa pale🤣🤣
🤗🤗 aya nimekaa pale🤣🤣
Japo ulinizuia nisikujibu, nasemea hapa asante sweetheart.Hahaha...!!
Hivi unajua nimetoka kufanya nilichouliza Jana, mtu kanitukana matusi nikambariki..?? Mpaka nikahisi siyo Mimi..!!
Mdogo wangu ali-share hilo Neno, nikamuuliza hivi inawezekana kumbariki mtu aliyekuudhi Ile saaana..??
Kuna watu wamepigwa matukio mpaka hawajiamini… hawaamini kama watu weka bado wapo
HahahaTena utandike mkeka uweke na kigodoro ulale, maana kukaa pekee utachoka sana.😂😂
Hii aina ya ushambuliaji ni mpya kwangu.. Mfumo gani huu unatumia? Labda ni assume ulitaka uandike Bank Account? Au unataka ukanichome mi ni mkongo?Siombi kikubwa
Ni namba yako tu ya nida 😂😂 naiomba basi
Sio ata kupigwa matukio ni wivu tu umenipanda, sisi wanaume hatupendi mwingne asifiwe mbele yetu.Kuna watu wamepigwa matukio mpaka hawajiamini… hawaamini kama watu weka bado wapo
😀😀Dunia hii Ina viumbe vina mapenz huruma SanaMimi sio yeye wala yeye sio wewe.
Pole Mkuu, haya mambo hayana formula.
Yaliyotokea kwake sio yatakayotokea kwangu.
Namsifu kwa kila kitu, usinitisheeee 🤣🤣👌🏽
🤗🤗 aya nimekaa pale🤣🤣
Aiseee nina mengi ya kuwaambia nyie watu, inabidi tubadili hii mindset ya watu kuokoa ambao bado wanaamini ktk mapenzi ya kweli.Kuna watu wamepigwa matukio mpaka hawajiamini… hawaamini kama watu weka bado wapo
Shangazi ameeleza sahihi kabisa Cuzo...Kaua sana Leo shangazi kasie
Hahaha...!!
Hivi unajua nimetoka kufanya nilichouliza Jana, mtu kanitukana matusi nikambariki..?? Mpaka nikahisi siyo Mimi..!!
Mdogo wangu ali-share hilo Neno, nikamuuliza hivi inawezekana kumbariki mtu aliyekuudhi Ile saaana..??
Inawezekana kumbariki na kumwombea aliyekuudhi ikiwa unaye Roho mtakatifu, kibinadamu Si Rahisi, shetani hutumia na kuinua watu waje kutuchokoza na kutuonea, Nia yake umtukane mtu huyo au umjibu Kwa kurudisha matusi Ili achukue matusi Yako na kuyapeleka Kwa Mungu Ili kukushtaki uadhibiwe.Hahaha...!!
Hivi unajua nimetoka kufanya nilochouliza Jana, mtu kanitukana matusi nikambariki..?? Mpaka nikahisi siyo Mimi..!!
Mdogo wangu ali-share hilo Neno, nikamuuliza hivi inawezekana kumbariki mtu aliyekuudhi Ile saaana..??
Si unazijua tabia za makonda wengi zilivyo na maneno yao machafu machafu, afadhali hata makonda wa miaka hii wana ustaarabu kidogo, miaka ya nyuma kazi ya ukonda ilikuwa inafanywa na wahuni sana kwahiyo mambo mengi ni uhuni uhuni tu. Nilimjia juu yeye mwenyewe akanywea, mama ananivuta mkono ananiambia twende achana nae asije akakupiga bure, nikamwambia athubutu aone kama hajalala jela, watu wengine wakaingilia kati kumkosoa vikali konda mpaka akamuomba mama samahani.Natamani sana ungeiongezea nyama hii stori yako nimependa
Wewe ni Mimi Nifah..Japo ulinizuia nisikujibu, nasemea hapa asante sweetheart.
Unachokiongelea hata mimi niko hivyo siku hizi, hadi najiuliza ndio nimekuwa mtu mzima busara zimeongezeka au vipi?
Niko ktk stage sitaki kabisa ugomvi na watu, nafurahia maisha coz yana vingi vya kunipa furaha kuliko ugomvi.
IAiseee nina mengi ya kuwaambia nyie watu, inabidi tubadili hii mindset ya watu kuokoa ambao bado wanaamini ktk mapenzi ya kweli.
Jamani eeeh, siku nikianzisha thread ya love story yangu na mkaka wa hapahapa JF andaeni gunia la popcorn, itakuwa balaaaa!
Wale wa kataa ndoa tutakua mbele mbele kama tai😉Aiseee nina mengi ya kuwaambia nyie watu, inabidi tubadili hii mindset ya watu kuokoa ambao bado wanaamini ktk mapenzi ya kweli.
Jamani eeeh, siku nikianzisha thread ya love story yangu na mkaka wa hapahapa JF andaeni gunia la popcorn, itakuwa balaaaa!
😂😂😂 majibu yote ni sahihiHii aina ya ushambuliaji ni mpya kwangu.. Mfumo gani huu unatumia? Labda ni assume ulitaka uandike Bank Account? Au unataka ukanichome mi ni mkongo?
Hiyo siku mtapigwa na kitu kizito, mapenzi ya ukweli yapo.I
Wale wa kataa ndoa tutakua mbele mbele kama tai😉
Kumbe una shida binafsi? Hilo ni lako pekee, nikupe pole 😂😂Sio ata kupigwa matukio ni wivu tu umenipanda, sisi wanaume hatupendi mwingne asifiwe mbele yetu.
Ata mimi nilikua nayo sana kwa kimbaumbau wangu. Ila alipojitokeza mwenye zigo lake ,nilijikuta nipo single 😁😁Hiyo siku mtapigwa na kitu kizito, mapenzi ya ukweli yapo.
☺️☺️☺️Kumbe una shida binafsi? Hilo ni lako pekee, nikupe pole 😂😂
Me sijaona mwingine aliyepata wivu baada ya Nifah kumsifia mahabuba wake.
Usisahau kunitagipo 😆 maana mko wengi na dada Carleen pia yumoAiseee nina mengi ya kuwaambia nyie watu, inabidi tubadili hii mindset ya watu kuokoa ambao bado wanaamini ktk mapenzi ya kweli.
Jamani eeeh, siku nikianzisha thread ya love story yangu na mkaka wa hapahapa JF andaeni gunia la popcorn, itakuwa balaaaa!