Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,636
Wewe hujawahi kuchepuka?Kiukweli naweza kusamehe makosa yote atakayofanya mwanamke lakini si kosa la kuchepuka, yaani nitamchukia kama ninavyoichukia Alianz Arena
Wewe hujawahi kuchepuka?Kiukweli naweza kusamehe makosa yote atakayofanya mwanamke lakini si kosa la kuchepuka, yaani nitamchukia kama ninavyoichukia Alianz Arena
HaswaaaaaaKabisa wasamehe kama wanavosamehewa.
Wasidhani wao tu ndo wenye moyo wa nyama nasie tuna mioyo ya chuma
Watake radhi wanaume.Ha haa inabidi nasie tuwarudishe kupisha uchunguzi
Uko sahihi mkuu, hili jambo umelizungumza vizuri kuna siku nilianzisha huu mjadala walipinga baadhi. Niliwaonea huruma sana.Ukweli mchungu:
Mwanamke ni MTU anayeingia mzima mzima kwenye mahabati kiasi kwamba hata iweje hawezi kuficha uhusiano wake wa mapenzi.
Mwanamke alieolewa akishapata mchepuko utajua tu. Manake ataibuka na kilo za dharau na majibu ya kuudhi sana.
Hasa pale mume anapoonekana kukosea jambo dogo sana.
Sometimes mume anaweza Dhani kua labda mke yupo yupo serious sana na maisha ya kileo. Akahisi kapata mke mwenye akili ya maisha. Kumbe mwanamke yupo katika level za kumchukia mumewe na kukosa uvumilivu baada ya kufurahia dodoki LA nje.
Ikitokea mume umemfumania mke, anaweza lia ama jitetea kua hata rudia. Ila ukweli ni kua ameshanogewa. Labda mume uhame mji. Ni lazima atarudia tu.
Kwanza msamaha kwa mwanamke huyu ni kama kufanya kosa LA jinai.
You will regret.
Atakua anajisifu jinsi anavyoweza kuku control. Na chuki yake itazidi
Cha msingi. Ukimfumania mwanamke Mara moja. Mpige chini. This is under ceteris paribus (when other things remain constant).
Uzoefu unaonyesha kua mwanamke ukimfumania Mara moja, IPO Siku utamfumania tena, na tena na tena.
No matter how hard you tried to make things better.
These are women. They never change.
Mmmh! Wengine husema kumiliki Muhogo badala ya bamia siyo Tatzo bali namna inavyotumika hiyo bamia! Ikitumika vizuri bamia Mara nyingi huushinda uwezo wa muhogo , lakin bado pamoja na takwimu kama hizo bado mnasepa , ndo maana wengine wanaacha mhogo majumbani mwao na wanachepuka na Bamia na zimewatuliza kupita Maelezo! Sasa hii nayo ikoje?Tatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
Ukimfumania mke wako katika mazingira yoyote na wakati huo hakukutaarifu kuwa alibakwa, katekwa ila amefika eneo LA tukio mwenyewe tena kwa kujipodoa, my bro it was planned piga chini hata kama umeoa mwezi uliopita
Hahahahaha........hivi kumbe ndio wewe unanisumbuaga akili yangu kumbe tumesoma same same class, was so fun kwakweli.haya nakubari kishingo upande nilitaka specific answer, ila watanzania tuna sifa ya kujieleza sana ndo maana tunashindwa mihihani.
Swali linasema choose on qn wewe unajibu yote.
Basi maelezo yako yamenikumbusha nikiwa first year loh maswali yalikuwa mawili na bahati mbaya yote nilikuwa siyajui lecture aliset ambapo sikusoma.
Basi nilihesabu mabati mwisho nikawaza what should i do? Nikakumbuka topic moja nilikuwa nimeimeza balaa ikabidi nijitungie swali
nikaanza suppose it was " ratio decidendi" nikatunga swali nikashukaa na mifano yote nilikuwa nimemeza, nikakusanya.
Lecture alivyorudisha karatasi, darasa zima walipokea karatasi zao akauliza nani hakupata nikanyoosha mkono nilisikia "follow me in my office" ahaa akasema "are insane? Kimya akasema nikupe maksi ngapi " nikajibu " fanya utakavyona wewe samahani maswali yako yote sikuyaelewa. Next lesson akanitangaza class ati najitungia maswali loh nimekumbuka mbali.
Mwanaume anafanya kuokoa jahazi la wanawake wengine, maana uwiano wa ME to KE hadi sasa ni 1:5 , hii ni kwasabu chance ya watoto wa kike kuzaliwa ni 95% kwa 5% ya watoto wa kiume! Kwahiyo wanaume wakikomaa na Mke tu moja kwa moja wanawake wengine wanaangamia huko nje, so ni bora kwa ME anayemridhisha Mke wake vizuri kabisa ,aendelee kutoa Huduma kwa hao wa nje pia.Kabisa wasamehe kama wanavosamehewa.
Wasidhani wao tu ndo wenye moyo wa nyama nasie tuna mioyo ya chuma
Hahahaha hamu isiyoisha makubwaaaTatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
Acha kuzungumza ujinga wewe, ana kibamia kwanini pesa zake unazila, ana kibamia kwanini ulikubali kuolewa naye.Tatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
Hizo razi mnazo ngapi ili nijue niwatake ngapi?Watake radhi wanaume.
ahaaa wongo wewe huwezi nijua ukitaja mkoa wa chuo hicho na log offHahahahaha........hivi kumbe ndio wewe unanisumbuaga akili yangu kumbe tumesoma same same class, was so fun kwakweli.
That's trueMwanamke wa ukweli hafumaniwi mkuu.
Mwanamke hana cha kujitambua.Mwanamke anayejitambua na kutambua nafasi yake, hapaswi kuwa na makandokando ya pembeni.
Kikombe kibaya sana hicho
I'm not a feminist...