Ukimfumania mwanamke Mara moja piga nyama chini

2013

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
11,358
6,060
Ukweli mchungu:

Mwanamke ni MTU anayeingia mzima mzima kwenye mahabati kiasi kwamba hata iweje hawezi kuficha uhusiano wake wa mapenzi.

Mwanamke alieolewa akishapata mchepuko utajua tu. Manake ataibuka na kilo za dharau na majibu ya kuudhi sana.
Hasa pale mume anapoonekana kukosea jambo dogo sana.
Sometimes mume anaweza Dhani kua labda mke yupo yupo serious sana na maisha ya kileo. Akahisi kapata mke mwenye akili ya maisha. Kumbe mwanamke yupo katika level za kumchukia mumewe na kukosa uvumilivu baada ya kufurahia dodoki LA nje.
Ikitokea mume umemfumania mke, anaweza lia ama jitetea kua hata rudia. Ila ukweli ni kua ameshanogewa. Labda mume uhame mji. Ni lazima atarudia tu.

Kwanza msamaha kwa mwanamke huyu ni kama kufanya kosa LA jinai.

You will regret.

Atakua anajisifu jinsi anavyoweza kuku control. Na chuki yake itazidi
Cha msingi. Ukimfumania mwanamke Mara moja. Mpige chini. This is under ceteris paribus (when other things remain constant).
Uzoefu unaonyesha kua mwanamke ukimfumania Mara moja, IPO Siku utamfumania tena, na tena na tena.

No matter how hard you tried to make things better.
These are women. They never change.
 
Yea,
u can't satisfy a woman.
Mwanamke wakati mwingine huwa kama akili yao haiko sawa
Hasa kwenye suala la mapenzi.
 
Wewe jamaa unajitambua hawa watu wa jinsia ya kike hawatakusumbua hata siku moja.
...huwa nasikitika sana mwanaume anajiliza eti amesalitiwa...eti afanyeje?,....tena analalamikia mitandaoni.
.....Mungu akupe ujaasiri wa kuyatenda haya kwa vitendo....mimi huwa hata nikihisi tu ananisaliti ntampeleka kwao ili asiingilie uchunguzi wangu.
 
15534934_775543849263666_3473044124733538304_n.jpg
 
Kwih kwih kwih......teh teh......usipige chini....labda anafanya mazoezi kwa ajili ya mechi ya baadae.
 
Wewe jamaa unajitambua hawa watu wa jinsia ya kike hawatakusumbua hata siku moja.
...huwa nasikitika sana mwanaume anajiliza eti amesalitiwa...eti afanyeje?,....tena analalamikia mitandaoni.
.....Mungu akupe ujaasiri wa kuyatenda haya kwa vitendo....mimi huwa hata nikihisi tu ananisaliti ntampeleka kwao ili asiingilie uchunguzi wangu.
Usimsifie ujinga, huyu bado anahangaika na mademu. Leo ana huyu, kesho ana yule, hawezi kushauri kitu huyu
 
Wewe jamaa unajitambua hawa watu wa jinsia ya kike hawatakusumbua hata siku moja.
...huwa nasikitika sana mwanaume anajiliza eti amesalitiwa...eti afanyeje?,....tena analalamikia mitandaoni.
.....Mungu akupe ujaasiri wa kuyatenda haya kwa vitendo....mimi huwa hata nikihisi tu ananisaliti ntampeleka kwao ili asiingilie uchunguzi wangu.
Wacha weee
 
Back
Top Bottom