Ukimfumania mwanamke Mara moja piga nyama chini

Ukimfumania mke wako katika mazingira yoyote na wakati huo hakukutaarifu kuwa alibakwa, katekwa ila amefika eneo LA tukio mwenyewe tena kwa kujipodoa, my bro it was planned piga chini hata kama umeoa mwezi uliopita
 
Tatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
 
Speaking of mwanamke unamaanisha nini labda? Kwa nijuavyo mwanamke angeruhusiwa kuwa na wanaume ata watatu bado angechepuka na ukimfumania atataka umsamehe
 
99% ya sisi wanaume tunasaliti kwa tamaa za kimwili tu..

Ukweli mchungu ni nyie wanawake mnasaliti kwa kumpenda kweli yule mnaechepuka naye.. Sijui kwa sasa ikoje!

Hiyo ndio sababu ukimfumania mwanamke usimsamehe wala usiendelee kuwa naye..ukifanya hivyo ni sawa na kulea kitu kitakachokuja kukudhuru!
Majibu yako kama yana ukweli hivi
 
Kiukweli naweza kusamehe makosa yote atakayofanya mwanamke lakini si kosa la kuchepuka, yaani nitamchukia kama ninavyoichukia Alianz Arena
 
Ukimfumania mke wako katika mazingira yoyote na wakati huo hakukutaarifu kuwa alibakwa, katekwa ila amefika eneo LA tukio mwenyewe tena kwa kujipodoa, my bro it was planned piga chini hata kama umeoa mwezi uliopita
27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, ISIPOKUWA kwa habari ya UASHERATI, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
 
Ukweli mchungu:

Mwanamke ni MTU anayeingia mzima mzima kwenye mahabati kiasi kwamba hata iweje hawezi kuficha uhusiano wake wa mapenzi.

Mwanamke alieolewa akishapata mchepuko utajua tu. Manake ataibuka na kilo za dharau na majibu ya kuudhi sana.
Hasa pale mume anapoonekana kukosea jambo dogo sana.
Sometimes mume anaweza Dhani kua labda mke yupo yupo serious sana na maisha ya kileo. Akahisi kapata mke mwenye akili ya maisha. Kumbe mwanamke yupo katika level za kumchukia mumewe na kukosa uvumilivu baada ya kufurahia dodoki LA nje.
Ikitokea mume umemfumania mke, anaweza lia ama jitetea kua hata rudia. Ila ukweli ni kua ameshanogewa. Labda mume uhame mji. Ni lazima atarudia tu.

Kwanza msamaha kwa mwanamke huyu ni kama kufanya kosa LA jinai.

You will regret.

Atakua anajisifu jinsi anavyoweza kuku control. Na chuki yake itazidi
Cha msingi. Ukimfumania mwanamke Mara moja. Mpige chini. This is under ceteris paribus (when other things remain constant).
Uzoefu unaonyesha kua mwanamke ukimfumania Mara moja, IPO Siku utamfumania tena, na tena na tena.

No matter how hard you tried to make things better.
These are women. They never change.
Samehe saba mara sabini,iko siku atatulia atakuwa wa kwako peke yako na utafurahia maisha,hao wanaokula hawachukui chochote wakichoka watakuachia.
 
hujajibu swali sema mara ngapi?
Nimekupa maelezo hayo ili ujue kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanasaliti kwa tamaa tu na wewe kama mwanamke unayo nafasi ya kumbadili mwanaume akaacha hizo tamaa na akabaki na wewe tu!

Kwahiyo hakuna haja ya kumuacha mtu aliyechepuka kwa tamaa tu.. Mrekebishe!
 
Tatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
I wondered what was wrong with you

'Cause how could you give your love to someone else
And share your dreams with me
Sometimes the very thing you're looking for
Is the one thing you can't see.

Proverbs 14:1
[1]Every wise woman buildeth her house: but the foolish plucketh it down with her hands.
 
Nimekupa maelezo hayo ili ujue kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanasaliti kwa tamaa tu na wewe kama mwanamke unayo nafasi ya kumbadili mwanaume akaacha hizo tamaa na akabaki na wewe tu!

Kwahiyo hakuna haja ya kumuacha mtu aliyechepuka kwa tamaa tu.. Mrekebishe!
haya nakubari kishingo upande nilitaka specific answer, ila watanzania tuna sifa ya kujieleza sana ndo maana tunashindwa mihihani.

Swali linasema choose on qn wewe unajibu yote.

Basi maelezo yako yamenikumbusha nikiwa first year loh maswali yalikuwa mawili na bahati mbaya yote nilikuwa siyajui lecture aliset ambapo sikusoma.

Basi nilihesabu mabati mwisho nikawaza what should i do? Nikakumbuka topic moja nilikuwa nimeimeza balaa ikabidi nijitungie swali

nikaanza suppose it was " ratio decidendi" nikatunga swali nikashukaa na mifano yote nilikuwa nimemeza, nikakusanya.

Lecture alivyorudisha karatasi, darasa zima walipokea karatasi zao akauliza nani hakupata nikanyoosha mkono nilisikia "follow me in my office" ahaa akasema "are insane? Kimya akasema nikupe maksi ngapi " nikajibu " fanya utakavyona wewe samahani maswali yako yote sikuyaelewa. Next lesson akanitangaza class ati najitungia maswali loh nimekumbuka mbali.
 
Back
Top Bottom