Ukilala usingizi mikono yako inapenda kukushikilia wapi?

Ukilala usingizi mikono yako inapenda kukushikilia wapi?

mhaka

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
495
Reaction score
261
inasemekana kuwa wanaume waafrika wengi wakiwa usingizini mikono yao hupenda kushikilia nyeti zao, tofauti na wazungu ambao hushika kichwa, je kuna ukweli wa hoja hii? kama ni kweli ni kwa nini?
 
inasemekana kuwa wanaume waafrika wengi wakiwa usingizini mikono yao hupenda kushikilia nyeti zao, tofauti na wazungu ambao hushika kichwa, je kuna ukweli wa hoja hii? kama ni kweli ni kwa nini?

Hakuna ukweli, binafsi mikono yangu huwa napenda ishike matiti ya mrs (mkono mmoja chini ya mto, mwingine kwenye nyonyo) Naye mkono wake mmoja kifuani kwangu mwingine kwenye mto.)

Sijui labda kwa wale ambao hawajaoa ndo waseme .........
 
kla m2 ana utaratibu wake wakat wa kulala c wote hushka nyet wadau.
 
Ngoja wazee wa utafiti waje, yangu huwa nalalia mmoja mwingine nakumbatia either mto ama shuka na hii ni automatically
 
Kisa chakushika kwengine wakati wakumshika yuko,namkumbatia na mguu mmoja unakua kati ya miguu yake....
 
Hakuna ukweli, binafsi mikono yangu huwa napenda ishike matiti ya mrs (mkono mmoja chini ya mto, mwingine kwenye nyonyo) Naye mkono wake mmoja kifuani kwangu mwingine kwenye mto.)

Sijui labda kwa wale ambao hawajaoa ndo waseme .........
Mkuu uonevu huo bana
 
Mikono yangu napenda ishike papuchi ya demu wangu na matiti
 
kuna hisia za usingiizi kule kwa wanaume ..... alafu ni raha kushika huko... na kuna baadhi ya wanawake waliolewa wakitaka kupata usingizi wanshika nyeti za waume zao .
 
inasemekana kuwa wanaume waafrika wengi wakiwa usingizini mikono yao hupenda kushikilia nyeti zao, tofauti na wazungu ambao hushika kichwa, je kuna ukweli wa hoja hii? kama ni kweli ni kwa nini?

Si kweli! Unapolala usingizi hujielewi unachofanya bwana!Unaweza weka mikono kwa kifua au kichwa au popote lakini pale usingizi unapokuchukua unaweza badili pozi
 
sina hakika sababu huwa nalala mara chache sana zaidi nasinzia tu....!
 
Nataka nijue Wachagga wakilala mikono yao huwa inashikilia nini...
 
Back
Top Bottom