Ukilala...lala salama

Ukilala...lala salama

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,341
lala salama..
matatizo chuki lawama..
matatizo chuki lawama..

ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu


uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu


najua wivu ndo mapenzi
ila chunga usizidi
si unajua kwako sijiwezi
ila dhiki imebidi
mi nili.tamani si mi kuwa nawe
tuwe wote usiku na mchana
kilichofanya mi nipagawe
sina chochote cha kuwalisha wana
niliupokea kwa unyonge.. msiba wa kaka bona
ile barua yako ya mwisho.. ilinitonesha vidonda

usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya jana ya kesho niombee

ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu


uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu

ile kua uone
nilidhani maghorofa
ai, akumbe mwana ukome
hakuna cha kuokota
mi bado, nakaza moyo changu kipenzi
ila naumia kwa kuwa mwenyewe
natamani ila siwezi, nazitafuta ili nije kula na wewe
msalimu mama nyumbani, usiseme kama nahenya
tai, mfiche mpe imani, karibu ntakuwa chema

usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya jana ya kesho niombee

ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu


uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu

1481048410078.jpg
 
Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
 
Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
My God...!!
Naona kama lilikua tukio la kuogofya sana how did you manage to see it all mkuu ...dah
 
Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
Duu nasoma hapa naona kama naangalia Final destination ,R.I.P dada
Na pole sana kwa kuona tukio la aina hiyo
 
My God...!!
Naona kama lilikua tukio la kuogofya sana how did you manage to see it all mkuu ...dah
Seen flesh of another human being exposed, it totally affected me.I had to pass several weeks with meat exclusion in my diets.Saliva turned to be vinegar. I lost concentration as my mind was severally envisioned with her picture.
Hurtful enough, five months later in the same year, again I witnessed another accident that was exactly alike the earlier except victim been a male.
I will never forget that year, I was mentally injured and all shits went on predicamently.
 
Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
Mungu wamgu hiyo stori yako imenihuzunisha sanaa!pole mkuu kwa kushuhudia tukio kubwa kiasi hicho.
 
It must have been tough for you...but prayer is advisable in situations like those ones .
Sorry for that. I dont know for me how would i take it if it was me seeing the horryfying scene like that ..a live one
.not a movie.
 
Seen flesh of another human being exposed, it totally affected me.I had to pass several weeks with meat exclusion in my diets.Saliva turned to be vinegar. I lost concentration as my mind was severally envisioned with her picture.
Hurtful enough, five months later in the same year, again I witnessed another accident that was exactly alike the earlier except victim been a male.
I will never forget that year, I was mentally injured and all shits went on predicamently.
It must have been tough for you...but prayer is advisable in situations like those ones .
Sorry for that. I dont know for me how would i take it if it was me seeing the horryfying scene like that ..a live one
.not a movie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom