Ukilala...lala salama

Ukilala...lala salama

Mbona kama kuna vijembe vinarushwa chini chini kwenye uzi wangu..emb tulien jmn tulien
 

Yupi sasa, maana hata wewe ulikuwa haujui muhusika ni nani!!

Nimeshapoa, nawe pole kwa kufulia.
Asali wangu wa moyo nadhani unamjua

Kufulia kawaida hiki kipindi si cha sport sport
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom