BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
- Thread starter
- #81
Mbona kama kuna vijembe vinarushwa chini chini kwenye uzi wangu..emb tulien jmn tulien
Siku nyingi sana tupo na mume wangu tunalea
Nimeshapoa, nawe pole kwa kufulia.Ooooooh pole sana
Asali wangu wa moyo nadhani unamjua![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yupi sasa, maana hata wewe ulikuwa haujui muhusika ni nani!!
Nimeshapoa, nawe pole kwa kufulia.
Nitunge story ili iweje?Dah
,... watu mna kipaji cha kutunga story papo kwa papo.. hongera.
Asali wangu wa moyo nadhani unamjua
Kufulia kawaida hiki kipindi si cha sport sport

Kwani mie nilishawahi kukosana na @Rogie?Hata sikumbuki kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Kwakweli namfahamu, hivi ndio aligoma kabisa kutoa msamaha?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()