Ukilala...lala salama

Ukilala...lala salama

Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
Mwili umenisisimka.....nimeingiwa na huzuni...daah maisha haya alale salama dada wa watu
 
Mwili umenisisimka.....nimeingiwa na huzuni...daah maisha haya alale salama dada wa watu
Mkuu lilikuwa tukio la huzuni mno.....Hakuwa na ndugu hivyo baada ya kupelekwa mochwari gari la manispaa lilipita mitaa yote kuulizia ndugu zake.....sijui kama ndugu zake walijitokeza kwenda kumzika au alizikwa na manispaa.....Lilikuwa ni tukio la kuhuzunisha mno.
 
Mkuu lilikuwa tukio la huzuni mno.....Hakuwa na ndugu hivyo baada ya kupelekwa mochwari gari la manispaa lilipita mitaa yote kuulizia ndugu zake.....sijui kama ndugu zake walijitokeza kwenda kumzika au alizikwa na manispaa.....Lilikuwa ni tukio la kuhuzunisha mno.
Pole sana kwa kumbukumbu yenye kuogofya.
 
We ulijifanya mjuaji, mwanamke gani kila mwanaume unamtaka.

Zimwi likujualo..............

Aaaaaah mpendwa ktk bwana hilo swali ulipaswa ujiulize wewe ujue.
Hivi mbona mimi nina unafuu.
Honey Faith hivi ulishajifungua au umebeba tembo.
 

Aaaaaah mpendwa ktk bwana hilo swali ulipaswa ujiulize wewe ujue.
Hivi mbona mimi nina unafuu.
Honey Faith hivi ulishajifungua au umebeba tembo.
Jamani mbona haunipumzishi mtoto wa mwanamke mwenzio?Kila kukicha kunisema tu khaaaa!!!
 
Dah
Huu wimbo wa Diamond siupendi hata kidogo,
Siyo kwamba uliimbwa vibaya ama simpendi Diamond, hapana bali unanikumbusha tukio la huzuni.

Nikiwa nausikiliza mida ya saa 9:30 usiku kwenye mgahawa unaotazamana na barabara, kuna Dada mmoja[kama 26-29] aliyekuwa na matatizo ya akili, mjamzito na asiyekuwa na makazi.

Huyo Dada akiwa anavuka barabara aligongwa na pikipiki aka anguka na kupoteza fahamu katikati ya barabara.Kabla ya watu kugundua uwepo wake barabarani fuso ilimpitia na kumkanyaga, nilisikia miguu na mikono ikivunjika kama kuni kavu.Jamaa mmoja aliyetaka kujaribu kumvuta pembeni alirudi mbio alipoona semi imekolezwa ambayo ilimpitia yule Dada kwa mara ya tatu.

Baadae barabara ilifungwa ili kumtoa barabarani[kilichonishangaza tumbo na kichwa havikujeruhiwa],

Wakati hayo yote yakitokea huo wimbo ulikuwa ukipigwa kwenye redio.....nikisikia anaposema ukilala lala salama, picha inanijia anamwimbia yule Dada aliyefariki kwa ajali kwamba akila alale salama.

It was too odious.
,... watu mna kipaji cha kutunga story papo kwa papo.. hongera.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom