Ukikutana na kikwete, utamshauri nini?

Nitamshauri akalihutubie bunge kesho na aseme yafuatayo,
Mh. Spika,
Kwanza napenda kuwashukuru watz wote walionichagua mwaka 2005. Niliwaahidi mambo mengi niliyoamini ningeweza kuyafanya lakini yalinishinda. Nimeshindwa kuthibitisha imani yao kwangu.
Mh. Spika,
Kutokana na uwezo wangu mdogo wa kiuongozi na kifikra, watz hawakunichagua mwaka jana hivyo nikachakachua kura ili nirudi madarakani. Hii imeniletea shida kubwa ya kuongoza watu wasionitaka na kuishia kutumia nguvu nyingi iliyogharimu maisha ya wengi.
Mh. Spika,
Kutokana na hayo nimeshauriwa na nimeamua yafuatayo,
1) kulivunja bunge na kutangaza uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
2) kujiuzulu nafasi ya uraisi na kutangaza uchaguzi sambamba na wa wabunge ili kuwapa nafasi watz kuchagua raisi mwenye uwezo wakuwasogeza mbele kimaendeleo ( i.e Dr Slaa!?).
3) Nawaomba radhi watz kwa yote yaliyotokea tangu mwaka '05 hadi leo na ninawaomba wanisamehe kwa dhati kabisa.
Mh. Spika,
Naomba kuwasilisha,
 
Bwana R kabla ya kuuliza wachangiaji wengine watamshauri nini JK wakikutana naye, nawe ulipaswa kuan za kutoa ushauri wako kwa JK, si kulalama, inaonekana wewe ukipewa kuongoza kundi hata la watu 10 utashindwa kuwaongoza bali utakuwa kiongozi wa malalamiko.
 
bwana r kabla ya kuuliza wachangiaji wengine watamshauri nini jk wakikutana naye, nawe ulipaswa kuan za kutoa ushauri wako kwa jk, si kulalama, inaonekana wewe ukipewa kuongoza kundi hata la watu 10 utashindwa kuwaongoza bali utakuwa kiongozi wa malalamiko.

kwani kakulazimisha ujibu ukiona una cha kuandika jaman jf sio lazi ma ufungue uandike
yeye kauliza jibu lake kama kamkabidhi kwa karatasi ??au na wewe ndio wakina kibonde mnaotumiwa ili muendee choo
 
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi, rushwa inazidi kuota mizizi, viongozi ni waongo,

Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.

Nitamshauri ifuatavyo:

1. Mafisadi na vibaraka wao wote wafukuzwe kwenye CHAMA
2. Mtoto wake Riz aachane na siasa
3. Afanye mabadiriko kwenye Baraza la Mawaziri, na Dr. Magufuri awe PM
4. Apunguze safari zisizo na msingi. Kama wiki jana na wiki hii, hivi kweli ilikuwa lazima kuudhuria mitukano ya masaa machache South Africa and Ethiopia?
5. Awe serious na maendeleo ya Watanzania na aache kuchekacheka anapokuwa anaongelea hoja za msingi
 
Aisee mafisadi unawapendea nini na kwanini wanasumbua nchi wakati vyombo vyote vya usalama unavyo..????
 
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi, rushwa inazidi kuota mizizi, viongozi ni waongo,

Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.

Ajiuzulu na Serikali yake yote ili kuwe na uchaguzi mwingine katika kipindi cha miezi 12 tangu kujiuzulu kwake.
 
Akivue gamba chama chake kuanzia kwake hadi kwa Chenge, yaani ajiunge na mapacha watatu wawe mapacha wanne na wote wajivue magamba.
 
Nitamshauri a-resign fasta na kujisalimisha kwa Ocampo Morino kama mhalifu wakati akiwa madarakani.

Hii nchi JK aliikuta na kitu, iweje aondoke hamna kitu na madeni juu?
 
Nitamshauri akalihutubie bunge kesho na aseme yafuatayo,
Mh. Spika,
Kwanza napenda kuwashukuru watz wote walionichagua mwaka 2005. Niliwaahidi mambo mengi niliyoamini ningeweza kuyafanya lakini yalinishinda. Nimeshindwa kuthibitisha imani yao kwangu.
Mh. Spika,
Kutokana na uwezo wangu mdogo wa kiuongozi na kifikra, watz hawakunichagua mwaka jana hivyo nikachakachua kura ili nirudi madarakani. Hii imeniletea shida kubwa ya kuongoza watu wasionitaka na kuishia kutumia nguvu nyingi iliyogharimu maisha ya wengi.
Mh. Spika,
Kutokana na hayo nimeshauriwa na nimeamua yafuatayo,
1) kulivunja bunge na kutangaza uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
2) kujiuzulu nafasi ya uraisi na kutangaza uchaguzi sambamba na wa wabunge ili kuwapa nafasi watz kuchagua raisi mwenye uwezo wakuwasogeza mbele kimaendeleo ( i.e Dr Slaa!?).
3) Nawaomba radhi watz kwa yote yaliyotokea tangu mwaka '05 hadi leo na ninawaomba wanisamehe kwa dhati kabisa.
Mh. Spika,
Naomba kuwasilisha,

Mkuu Filipo uko nami! huo ndo ushauri wangu kwa JK. ntaongeza tu kuwa tutampa msamaha yeye tu. ila kama familia yake imechukua mali ya umma tutaishughulikia. marafiki zake ndo kabisaaa hawana pa kukimbilia wala kinga yoyote
 
Nitamshauri akalihutubie bunge kesho na aseme yafuatayo,
Mh. Spika,
Kwanza napenda kuwashukuru watz wote walionichagua mwaka 2005. Niliwaahidi mambo mengi niliyoamini ningeweza kuyafanya lakini yalinishinda. Nimeshindwa kuthibitisha imani yao kwangu.
Mh. Spika,
Kutokana na uwezo wangu mdogo wa kiuongozi na kifikra, watz hawakunichagua mwaka jana hivyo nikachakachua kura ili nirudi madarakani. Hii imeniletea shida kubwa ya kuongoza watu wasionitaka na kuishia kutumia nguvu nyingi iliyogharimu maisha ya wengi.
Mh. Spika,
Kutokana na hayo nimeshauriwa na nimeamua yafuatayo,
1) kulivunja bunge na kutangaza uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
2) kujiuzulu nafasi ya uraisi na kutangaza uchaguzi sambamba na wa wabunge ili kuwapa nafasi watz kuchagua raisi mwenye uwezo wakuwasogeza mbele kimaendeleo ( i.e Dr Slaa!?).
3) Nawaomba radhi watz kwa yote yaliyotokea tangu mwaka '05 hadi leo na ninawaomba wanisamehe kwa dhati kabisa.
Mh. Spika,
Naomba kuwasilisha,

Hapa napingana na wewe, yaani mhalifu aombe radhi?? anatakiwa arudishe kila kitu yeye na familia yake walichotuibia halafu wafunguliwe mashtaka ya kuhujumu uchumi. Akitimiza hili pengine tunaweza kumsamehe. Though sio rahisi kusameheka manake tumesota sana chini ya utawala wa huyu anayejiita Dk Kikwete.
 
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi, rushwa inazidi kuota mizizi, viongozi ni waongo,

Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.

Nitamuomba achane kabisa na Ushirikiana....! Mambo ya kupuliza puliza kama head of state yafike mwisho kwenye karne hii ya 21.

Rasilimali za nchi zitumike kujenga uchumi imara aachane na sanaa!
 
AJIUE, atatupunguzia mateso watanzania yanayotokana na MTINDIO wake wa akili.
 
nitamshauri ajiandae kupelekwa mahakani na timu yake yote waliyoisababishia tanzania kuwa masikini
 
Aachane na mawazo yake ya semina elekezi...na badala yake awawajibishe wale walioshindwa kazi.
 
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi, rushwa inazidi kuota mizizi, viongozi ni waongo,

Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.


Ajirestishe in peace.
 
yan kama nitakutana nae nitamshaur ajiuzuru ndo atakuwa amesave maisha yake mana nikisema nimshaur hato weza kutekereza yote kama haya ya sasa aliyo haidi hawez kutimiza hvyo nitamshaur ajiuzuru tuu basi ili wengne wamsaidie
 
Back
Top Bottom