The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,089
- 102,576
Hata Majini tunatafuna tu,hatuchagui hatubagui.Siku moja mtakuja mtongoze majini akili iwakae sawa
Hata Majini tunatafuna tu,hatuchagui hatubagui.Siku moja mtakuja mtongoze majini akili iwakae sawa
Mimi nimeshamzukia huko PM kama ni kuja kunitangazaa aje tu bwasheeMimi nataka nimzukie mleta mada PM ila naomba aniruhusu hapa kwanza,asije kunitangaza.
😀😀
Mkuu unaweza kunishauri nizingatie vitu gani muhimu ili na mimi nisije haribu kama Mr verified use
Kama ulihitim Cuba au angalau una D 2 unatoboaMkuu unaweza kunishauri nizingatie vitu gani muhimu ili na mimi nisije haribu kama Mr verified user?
Kwa jinsi nilivyomsoma mleta mada,inabidi tu nitangulize hela mbele kama Tai,wala haihitaji mbinu za kivita.Kama ulihitim Cuba au angalau una D 2 unatoboa
🤣🤣🤣Bwashee kwa wale tulio somea Cuba tumeshakuelewa
Una uhakika ni wakike au LAKINI ?Kwa jinsi nilivyomsoma mleta mada,inabidi tu nitangulize hela mbele kama Tai,wala haihitaji mbinu za kivita.
😀😀
Dah! Ngoja nimuachia min -me akapigwe na kitu kizito huko PMUna uhakika ni wakike au LAKINI ?
Kila la kheriHata Majini tunatafuna tu,hatuchagui hatubagui.
Saa moja tayar liamusheHayupo, ila ikifika saa moja kamili usiku namtaja.
Liwalo na liwe.
Mbona ni tofauti sana, wardat,,,nusrat
Itabidi nije PM nikutambue vizuri ili siku nyingine nisichanganye.Mbona ni tofauti sana, wardat,,,nusrat
mrembo vipi?unautaka au?
😂😂😂Sema amekosea spellings za matusi husika. Akisimama mahakamani anashinda kesi
Naona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!a