The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,217
- 16,089
Wajamaa wanarusha nyavu kimya kimya kumbeKimeumana😂😂😂
Wajamaa wanarusha nyavu kimya kimya kumbeKimeumana😂😂😂
ImemchanganyaUsidanganyike na Profile pic yangu.
😅😅Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Hahahaha tena warusha nyavu nahisi hawana kelele mingi jukwaani 🤣Wajamaa wanarusha nyavu kimya kimya kumbe
Hapo nimekusoma,kuna mchizi nasikia alienda PM kwa waziri akarusha mawe hatarii.Hahahaha tena warusha nyavu nahisi hawana kelele mingi jukwaani 🤣
Waziri ni cheo tu bwashee, mapenzi ni mapenzi tu, binafsi naona ya pm yaishie huko pm tu🤔Hapo nimekusoma,kuna mchizi nasikia alienda PM kwa waziri akarusha mawe hatarii.
AiseeHapo nimekusoma,kuna mchizi nasikia alienda PM kwa waziri akarusha mawe hatarii.
Verifaidi yuza wote njooni hapa nawaita mbwa nyie kwann mnamsumbua mrembo Nusrat? 😹😹
Hamjui kukataliwa? Hivi Vincenzo Jr si verifaidi huyu? Si yeye kweli?
Hebu wataje tuwasuuze mahi..!! 🤣
Mi napenda umbea motroo motroo km huu jamani..!!
Majirani huku 🤣😹😹
Wewe tenaVerifaidi yuza wote njooni hapa nawaita mbwa nyie kwann mnamsumbua mrembo Nusrat? 😹😹
Hamjui kukataliwa? Hivi Vincenzo Jr si verifaidi huyu? Si yeye kweli?
Hebu wataje tuwasuuze mahi..!! 🤣
Mi napenda umbea motroo motroo km huu jamani..!!
Majirani huku 🤣😹😹
Nahusika vipi sasa kwenye watu kuombana piemuni huko?Kwa mujibu wa tafit mdogo nilizofanya naona wewe unahusika.
😅😅Hiyo I'd picture uliyoweka na maneno uliyoyaandika hayaendani , picha imekaa kibiashara au ndo unaitangaza kwa njia hiyo?
Si nasikia unataka ummpe Kaka yako.Nahusika vipi sasa kwenye watu kuombana piemuni huko?
Yeaaahhh 😹😹😹Wewe tena
Kaka yupi? 😹Si nasikia unataka ummpe Kaka yako.