cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,906
- 78,958
πππ he kuna na kudislike tena! Ngoja nichungulie huko juu.
Wahukumiwa hadi sasa wapo 5
π€£π€£π€£ Utafanyaje sasa
Kuja kumuongelea atakuwa amefurahia..
Acha uchoyo weweNaona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
π€π€π€ duhHa ha haaa
Acha kuruka tuka kusoma yaliyo andikwa
Itakuwa Mr aka Mr dislike anamisiwa sana hadi kafunguliwa uzi.. Kamisiwa usumbufu wake..
Aendelee tu kusumbua aiseee
Ila pia wa Mada kasema asiangakie picha sasa sijui yeye ni wa kivipi.. π€£π€£π€£π€£π€£π
Mkuu kumbe na wewe hii Ngoma unaielewaNgoja niwape dedication kabisa π· VIJANA BARUBARU FT NANDY _ SASA HIVI
πππ Wa Ntwala aliyopo humu ama wa mtaani tu?Ilibidi iwe zamu yangu kwa yule mtoto wa mtwara ila nikashtuka nitakuja kutia aibu mara dosho12 huyo kauvagaaa πππ
Kwani kaka umepigwa kibuti kwa yule mtoto wa bob Marley au Kuna mwengine π π€£ π€£nilivyo na bahati mbaya mambo ya kunirudia πππ
Kaka umesahau mpaka nikajitetea na kulewa π€£πππππ Wa Ntwala aliyopo humu ama wa mtaani tu?
Wamenishambulia akiwa min me et mimi sina rasta nina kipara kama cha kibwana shomari π πKwani kaka umepigwa kibuti kwa yule mtoto wa bob Marley au Kuna mwengine π π€£ π€£
Nimeisoma Code yote, kwa asilimia 99.9 hapa kazungumziwa bwashee.Ha ha haaa
Acha kuruka tuka kusoma yaliyo andikwa
Itakuwa Mr aka Mr dislike anamisiwa sana hadi kafunguliwa uzi.. Kamisiwa usumbufu wake..
Aendelee tu kusumbua aiseee
Ila pia wa Mada kasema asiangakie picha sasa sijui yeye ni wa kivipi.. π€£π€£π€£π€£π€£π
Ukiwa na Rasta SI utakuwa ndugu yao...kwani we ulikuwa unataka undugu nao kaka πππWamenishambulia akiwa min me et mimi sina rasta nina kipara kama cha kibwana shomari π π
Kwani kashatoa code? πMmmmh wazee wa code tushamjua huyo..
Sitaki mtu aniulize ni nani!
Kaamua kutafuta attention baada ya kuona hamna mdau aliemfata PMUnaweza kukuta wala hakuna aliyemsumbua huko PM
Ameamua tu kupima soko limekaaje kwa sasa,
Natania tu lakini.
Wapo wengi mno ,na wanadhani hawapaswi kukataliwaToa ushuhuda π
wasomi watakua wamelala jamaa wanalalaga mapema sanaWasomi hi
Nilisahau kaka hapa na google hospitali ya kupandikiza nywele ili nami nifunge rasta π πUkiwa na Rasta SI utakuwa ndugu yao...kwani we ulikuwa unataka undugu nao kaka πππ
Ungenitag nije kukusaidia ulifeli kaka