No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,828
Yaani kama amehangaika mpaka amekudukua whatsapp au hata Id yako hapa J.f wala usipanic,huyu ni sawa na mtu ambaye
hatumii kinga halafu anaenda kupima ngoma. Hakikisha unampa kile alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu tena usim banie mpaka aombe pooo mpaka ajute kwa nini kaijua Id yako.
hatumii kinga halafu anaenda kupima ngoma. Hakikisha unampa kile alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu tena usim banie mpaka aombe pooo mpaka ajute kwa nini kaijua Id yako.