Ukigundua mwenza wako Amekudukua!

Ukigundua mwenza wako Amekudukua!

Wahenga wa zamani walikua na tiba ya kila tatizo, kama vile siku za mwizi ni arobaini nk embu wajuzi mtueleze hili la Dawa ya mdukuzi ni..................
 
Kuna watu wanajishuku sana wanawake wengne akikuona umesimama karbu na tetea lazma agombane nae, wanaume wengne hasa wenye vibamia akiona mkewe kasimama karbu na jogoo halaf awike, utasikia jion huyu achinjwe
hahahahahahah jamani maneno yenu duuuuuh ila nimefurahi
 
Demu Wang kuna wakati nililewa,nikampora Cm kama utani nilichokuta kule ndani sikuamini chakushangaza akaanza kujitete "hivi Toni ukifatilia kila kitu utaweza?? unajipa pressure bure"
 
mimi nimedukua kwa kupitia whatsap web, nashukuru, some how anajitahidi kubehave, hana mambo mengi, chats zake zote naziona, imenifanya niongeze sana upendo kwake, maana mwanzo nilikuwa nina wasiwasi nae, kumbe ni wivu tu, hakuwa na mambo hayo
 
mimi nimedukua kwa kupitia whatsap web, nashukuru, some how anajitahidi kubehave, hana mambo mengi, chats zake zote naziona, imenifanya niongeze sana upendo kwake, maana mwanzo nilikuwa nina wasiwasi nae, kumbe ni wivu tu, hakuwa na mambo hayo
Mkuu nifundishe jins ya kudukuwa watsup maana kuna bint flan anaish mbali na mim ila nataka awe mchumba soon ,nia yang nikudetect kama ana mambo mengi au machache,kama machache ntamvumilia
 
Mkuu nifundishe jins ya kudukuwa watsup maana kuna bint flan anaish mbali na mim ila nataka awe mchumba soon ,nia yang nikudetect kama ana mambo mengi au machache,kama machache ntamvumilia
jambo la kwanza unadownload whatsapp scan kwenye cm yako, afu unaifungua, unachukua cm yake upande wa juu tafuta whatsapp web, then iscan ile application ulioidownload, hapo chats zake zote zitahamia kwako, inachukua dakika 1 tu kuwa na cm yake,,,,,,kwa uelewa zaidi icheki video you tubu, andika how to hack a whatsapp account using whatsapp web
 
Ni kweli bhana kuna watu wanawivu wa ajabu utafikiri alikukuta huwasiliani na watu wengine


Umewahi kujiuliza hili swali.....si kwa mwanamke au mwanamme....inakuwaje mtu umfiche mwenza wako kuwa unachat kisiri siri na mtu mwingine? Nini agenda yako, na kama ukiulizwa huyu unayechat naye ni nani kwa nini uje juu? Ukisikia paaaa, ujuwe kaguswa huyo.
 
Mkuu nifundishe jins ya kudukuwa watsup maana kuna bint flan anaish mbali na mim ila nataka awe mchumba soon ,nia yang nikudetect kama ana mambo mengi au machache,kama machache ntamvumilia
Mkuu nakushauri, kama huna uwezo wa kuachana nae usimchunguze
 
Yaani kama amehangaika mpaka amekudukua whatsapp au hata Id yako hapa J.f wala usipanic,huyu ni sawa na mtu ambaye
hatumii kinga halafu anaenda kupima ngoma. Hakikisha unampa kile alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu tena usim banie mpaka aombe pooo mpaka ajute kwa nini kaijua Id yako.
Dadavua vizuri boss
 
Sijawahi kupenda kwa asilimia miamoja naomba isinitokee kusalitiwa asalitiwe mwanamke mwanaume vidume inatuuma mnoooo hainaga maelezo
 
Wahenga wa zamani walikua na tiba ya kila tatizo, kama vile siku za mwizi ni arobaini nk embu wajuzi mtueleze hili la Dawa ya mdukuzi ni..................
Ni kumwongezea upendo
 
Demu Wang kuna wakati nililewa,nikampora Cm kama utani nilichokuta kule ndani sikuamini chakushangaza akaanza kujitete "hivi Toni ukifatilia kila kitu utaweza?? unajipa pressure bure"
Kwa hivyo na wewe ukaridhika
 
Umewahi kujiuliza hili swali.....si kwa mwanamke au mwanamme....inakuwaje mtu umfiche mwenza wako kuwa unachat kisiri siri na mtu mwingine? Nini agenda yako, na kama ukiulizwa huyu unayechat naye ni nani kwa nini uje juu? Ukisikia paaaa, ujuwe kaguswa huyo.
Sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom