agprogrammer
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 468
- 362
Ya kweli hayo hamna wa peke yakoWivu wa kitoto tu, hakuna cha peke yako dunia hii
Ya kweli hayo hamna wa peke yakoWivu wa kitoto tu, hakuna cha peke yako dunia hii
Demu Wang kuna wakati nililewa,nikampora Cm kama utani nilichokuta kule ndani sikuamini chakushangaza akaanza kujitete "hivi Toni ukifatilia kila kitu utaweza?? unajipa pressure bure"
Mkuu kutumia huu ushauri wako, labda akili ziwe zimefyatuka. Maana ni zaidi ya uharibifu, aisee[emoji50] !Yaani kama amehangaika mpaka amekudukua whatsapp au hata Id yako hapa J.f wala usipanic,huyu ni sawa na mtu ambaye
hatumii kinga halafu anaenda kupima ngoma. Hakikisha unampa kile alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu tena usim banie mpaka aombe pooo mpaka ajute kwa nini kaijua Id yako.
Kabla ya kudukua jiandae kisaikolojia tusije tukakupoteza bure!Mkuu nifundishe jins ya kudukuwa watsup maana kuna bint flan anaish mbali na mim ila nataka awe mchumba soon ,nia yang nikudetect kama ana mambo mengi au machache,kama machache ntamvumilia
Sio inakuwa ni ubinafsi uliozidiMwanaume ukidukua simu ya mwanamke sijui nakuonaje?...sana sana nazidi kukuhate tuu...shame on them wale wote wenye ushenzi huo!
Tuyajenge mm na ww,Ukimchunguza sana bata hutamla
Maghorofa ama manini tuyajenge mkuuTuyajenge mm na ww,
Nilitaka tuyajenge mawasiliano ya karibu ya jaa zetuMaghorofa ama manini tuyajenge mkuu
Mnara wa mawasiliano wa mimi na wewe tu?? Ok poaNilitaka tuyajenge mawasiliano ya karibu ya jaa zetu