Ukifika Capetown utashangaa sana

Kumbe!
Ndo maana hawawapendi wageni wenye nchi yao wanasema ndio wanaoharibu nchi kwa biashara ya unga![emoji848]

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Nenda kaone kwa macho yako,coloureds 80% wanatumia madawa. Wabongo wanaofanya kazi za kuuza bidhaaa au bandarini ni wachache sana.
Uko sahihi, Nimekaa Cape Town Mitshellsplain kitongoji kimoja kinaitwa Lost City, ni nouma, USA na uhuni wao wote cha Mtoto...

Familia ambazo hazijaathirika na Matumizi ya Dawa za kulevya ni Ama zilizosoma ama zenye Dini.....

I agree kuwa 80% ya Warangirangi ni Wavutaji Madawa.
 
Nilinunua 'Malaya' Mmoja wa ;Kirangirangi' karibu na hiyo 'Theatre' kubwa hapo UCT kila nikimaliza 'Kumkojolea' tu ananiomba 'abwie' Unga wake.
 
Brother umetoa uzoefu wa maana sana aisee.Patience,Experience,Exposure,network and connection I.e social quetient,etc hizo qualities ndio zinaleta matokeo tofauti binafsi nimekuelewa
 
Ni muda wa kufatilia chimbuko la nchi za SADC yaweza kuwa sisi ni baba na mama mmoja maana tunaelewana na tabia tunafanana
Umesahau Mwanamutapa na kina Zwangedaba.Vita ya Mfecane hukusoma.wote sisi ni ndugu
 
Vp kuhusu mji wa port Elizabeth ukoje kiusalama na utafutaji wa kazi

Miji gani kuna usalama zaidi kwa wageni ndani ya south Africa

Na vip kuhusu mini yenye job opportunities nyingi zaidi kwa huko

Ahsante kwa majibu yenu
 
Vp kuhusu mji wa port Elizabeth ukoje kiusalama na utafutaji wa kazi

Miji gani kuna usalama zaidi kwa wageni ndani ya south Africa

Na vip kuhusu mini yenye job opportunities nyingi zaidi kwa huko

Ahsante kwa majibu yenu
Port Elizabeth ni salama ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…