Kuna pple kaz yao kuponda
kuwa kinyume na.ukwel
utaskia wanawake wa...kuoa ni std 7 au form four
Et wenye dgr hawana unyenyekevu
Na mijitu inasuport tu NDIO KWELIII
Haya..utaskia wanawake wanene...hawajui kukataa wanaume...mara wembamba ni michepuko...wafup sjui...nini haaa...kuna vtu vngne ni ushamba
Et kabila flan hawajui mapenz
Naamin humu wasomi ni weng...so achen ujinga...think kisomi positivly...ni hayo tuu
ukikaa kizembe zembe tunakupoteza tu...hapa kijiweni bana
Bora waambie maana wamezidi kila theme humu ndani ni wanawake, hawajiamini kabisa baadhi yao. Kama wewe unaona uoe std 7 yes is u ila kuna ambao hawataki kusikia hao std 7. Kila mtu na chaguo lake.
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.
Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.
Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.
Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.
Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.
principle za kijiwe lazma upewe msokoto, miraa na viroba kifuatacho ni akili kumkichwa....Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
principle za kijiwe lazma upewe msokoto, miraa na viroba kifuatacho ni akili kumkichwa....
kidali poo....:A S 11:Hahaha
Aseeeeeh!
Hafu kama kawaida, kijiweni inabidi tupeane ushauri wa kijinga tu.
Bora hivi hivi tuendelee kuwa wamoja.
ha ha ha mtu akija na shida shida oooh mke anasumbua tunamshauri si urushe zubeda yake nje afu ye unammalizia na mateke, au kakupa limbwata? timua huyo kunguru wa kike oa mwingine utasumbuliwaje na mwanamke...
conclusion?
mtu mke kakutana nae facebook, wakajuana zaidi tweeter, wakachat chat kwa bbm na kutumiana picha kwa skype et ushauri aje jf ha ha ha si bora akagoogle amalize kabisaUmeona eeh! Tukupe ushauri ufaidike!