Binadamu akifa hana thamani hata jeza liwe la namna ipi au thamani, naona upotezaji wa pesa, kitu chenyewe kinaenda kufukiwa
Umeona eeeh...mie hata wanibebe kwa vikuni tu ilimradi wanaenda kunistiri kunizika basi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sina mpango wa kufa leo wala kesho, ndio kwanza nina umri nusu na ahadi ya Mungu so bado sana, hadi nije kufa si ajabu kutakuwa na dizaini nyingine ya kuzikana
Au Izraili mwenyewe atakuwa amekufa... Hence no more dying
Umeona eeh!
Halafu eti uanze kuchagua dizaini ya jeneza 2014, nani kasema?
kifo kipo ila kutangulia noumajembe afrika nawe kumbe wamwogopa ziraili ???,