Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

Mi ki ukweli nikitangulia ningependa kuzikwa kiislam, wale hawana mbwe mbwe
 
Leo nimewahi kurudi home hali tete kumfuko nimekaa sebuleni naangalia Tv zuku life , wanaonyesha tamaduni mbalimbali
Theme iliyonivutia ni nchini ghana watengenezaji majeneza! Kuna majeneza ya kila aina kulingana na fani yako kabla hujafa kuna jeneza umbo la ndege , kiatu ,chupa ya bia ,gari ,nyumba nk nk nk
Nimejaribu kutafakari nikaona niwashirikishe wanajamvi wenzangu hivi ukifa ungependa jeneza lako liwe la umbo gani ?
Mimi naona jeneza la mtu lifanane na matendo yake, kama ni mwanamke mzinzi achongewe jeneza lililofanana na Udume, kama ni mwananume mzinzi achongewe linalofanana Nyuchi ya kike, kama ni mvuta bangi achongewa linalofanana na misokoto, kama ni mpenda majungu achongewe jeneza linalofanana na chungu na akunjwe mpaka aingie kabisa na nyinginezo

 
Mimi naona jeneza la mtu lifanane na matendo yake, kama ni mwanamke mzinzi achongewe jeneza lililofanana na Udume, kama ni mwananume mzinzi achongewe linalofanana Nyuchi ya kike, kama ni mvuta bangi achongewa linalofanana na misokoto, kama ni mpenda majungu achongewe jeneza linalofanana na chungu na akunjwe mpaka aingie kabisa na nyinginezo


Duu kama ni mpenda majungu.....!
 
Mshana ungeweka jeneza lako ili liwe template kwa watakaofuata baada yako!
 
sihitaji jeneza....mnitupe baharini au ziwani samaki wajisevie au mnichome majivu tupeni ziwa victoria
 
sihitaji jeneza....mnitupe baharini au ziwani samaki wajisevie au mnichome majivu tupeni ziwa victoria
utajisikiaje hapo kama ulikuwa na maboifrend kama 50 hivi then wakang'ang'ania mwili wako.. kila mmoja anasema lake!!
 
nadhani itafutwe sayari mbadala ya kuzikia watu..

dunia ishajaa kwa sasa..

imagine kama ukifa unaenda kutupwa juani huko kwenye 6000[SUP]0[/SUP]C!
 
Nimetoka Ambiance kweli Mungu yuko likizo! Nitawekeza kwenye majeneza najua soon biashara italipa
 
Nimetoka Ambiance kweli Mungu yuko likizo! Nitawekeza kwenye majeneza najua soon biashara italipa

Fika na uwanja wa fisi manzese ,kimboka buguruni na mbagala uone jinsi shetani alivyosimama na mlundi mmoja
 
Nimetoka Ambiance kweli Mungu yuko likizo! Nitawekeza kwenye majeneza najua soon biashara italipa

Fika na uwanja wa fisi manzese ,kimboka buguruni na mbagala uone jinsi shetani alivyosimama na mlundi mmoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom