Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

naamini nitafungwa sanda kisha mkeka na kuwekwa kwenye kitanda cha teremka tukazwe.....
 
Leo nimewahi kurudi home hali tete kumfuko nimekaa sebuleni naangalia Tv zuku life , wanaonyesha tamaduni mbalimbali
Theme iliyonivutia ni nchini ghana watengenezaji majeneza! Kuna majeneza ya kila aina kulingana na fani yako kabla hujafa kuna jeneza umbo la ndege , kiatu ,chupa ya bia ,gari ,nyumba nk nk nk
Nimejaribu kutafakari nikaona niwashirikishe wanajamvi wenzangu hivi ukifa ungependa jeneza lako liwe la umbo gani ?

Inategemea utakufaje. Jee kama ungefia kwenye Ndege iliyopotea ungechagua la aina gani?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Sina mpango wa kufa leo wala kesho, ndio kwanza nina umri nusu na ahadi ya Mungu so bado sana, hadi nije kufa si ajabu kutakuwa na dizaini nyingine ya kuzikana
 
Sina mpango wa kufa leo wala kesho, ndio kwanza nina umri nusu na ahadi ya Mungu so bado sana, hadi nije kufa si ajabu kutakuwa na dizaini nyingine ya kuzikana

Well said bidada... Mie hata wasiponizika shauri zao!! Si nitakuwa sijielewi!???
 
Mimi naheshimu majeneza wanayobebewa marehemu wa-Israeli, yako kawaida sana. Very humbling. Hata awe waziri mkuu au jenerali sanduku ni dizaini ile ile tu. Wote tu-mavumbi.
 
Leo nimewahi kurudi home hali tete kumfuko nimekaa sebuleni naangalia Tv zuku life , wanaonyesha tamaduni mbalimbali .

Theme iliyonivutia ni nchini ghana watengenezaji majeneza! Kuna majeneza ya kila aina kulingana na fani yako kabla hujafa kuna jeneza umbo la ndege , kiatu ,chupa ya bia ,gari ,nyumba nk.

Nimejaribu kutafakari nikaona niwashirikishe wanajamvi wenzangu hivi ukifa ungependa jeneza lako liwe la umbo gani ?

Mkumbuke MUNGU siku za ujana wako kabla hazijaja kuwa mbaya ungewakumbusha ndugu wamejiandaa vipi na maisha ya ulimwengu ujao kwa kuwa mwili ni mavumbi hata uzikwe na jeneza la dhahabu kama ulikuwa ukiishi maisha ya kutompendeza MUNGU hakika wewe sio kitu mbele ya kiti cha MWENYEENZI.
 
Kama hili
 

Attachments

  • 1396343482257.jpg
    1396343482257.jpg
    8 KB · Views: 116
Hili pia si baya
 

Attachments

  • 1396343802108.jpg
    1396343802108.jpg
    7.4 KB · Views: 106
Hili kwa wafanyakazi wa coka cola
 

Attachments

  • 1396349199267.jpg
    1396349199267.jpg
    23.2 KB · Views: 91
Shabiki wa yanga
 

Attachments

  • 1396349484265.jpg
    1396349484265.jpg
    7.4 KB · Views: 121
Jichagulie hapa
 

Attachments

  • 1396352850541.jpg
    1396352850541.jpg
    8.7 KB · Views: 120
Hakuna anayependa kujichuria kifo.Labda uanze mwenyewe kusema unapenda jeneza la aina gani.
Mkuu unaogopa kitu ambacho kipo? kubali matokeo

Muhimu - subiri uondoke kwa muda/wakati wako hapa ulimwenguni nikiwa na maana usijue/jifupishe maisha yako

Ila zaidi ya hapo usifagilie kifo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom