Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

Ukifa ungependa jeneza lako liweje ?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,692
Reaction score
861,029
Leo nimewahi kurudi home hali tete kumfuko nimekaa sebuleni naangalia Tv zuku life , wanaonyesha tamaduni mbalimbali .

Theme iliyonivutia ni nchini ghana watengenezaji majeneza! Kuna majeneza ya kila aina kulingana na fani yako kabla hujafa kuna jeneza umbo la ndege , kiatu ,chupa ya bia ,gari ,nyumba nk.

Nimejaribu kutafakari nikaona niwashirikishe wanajamvi wenzangu hivi ukifa ungependa jeneza lako liwe la umbo gani ?
 
Binadamu akifa hana thamani hata jeza liwe la namna ipi au thamani, naona upotezaji wa pesa, kitu chenyewe kinaenda kufukiwa
 
Daktari wa wanawake sipati picha geneza lake linakuaje

Ok...anyway Geneza/kaburi halina mbwembwe ndo maana hawaweki kiyoyozi
 
Hakuna anayependa kujichuria kifo.Labda uanze mwenyewe kusema unapenda jeneza la aina gani.
 
Nimetoka msibani jioni hii maeneo ya Ukonga Mzambarauni, kuna jirani amefariki juzi ni mwanadada alikuwa mjamzito amekufa yeye na kichanga chake wakati wa kujifungua, wakati tunazika sikusikia yeyeote akiongelea juu ya Jeneza bali maisha ya binti yalivyozimika ghafla, so kujibu swali lako ndugu kwa upande wangu sioni sababu ya kuchagua jeneza la kuzikiwa maana sina faida nalo hata chembe.
 
Nimetoka msibani jioni hii maeneo ya Ukonga Mzambarauni, kuna jirani amefariki juzi ni mwanadada alikuwa mjamzito amekufa yeye na kichanga chake wakati wa kujifungua, wakati tunazika sikusikia yeyeote akiongelea juu ya Jeneza bali maisha ya binti yalivyozimika ghafla, so kujibu swali lako ndugu kwa upande wangu sioni sababu ya kuchagua jeneza la kuzikiwa maana sina faida nalo hata chembe.

So sad walale kwa amani i can feel the pains of the loved ones...! Hawa tusiwajumuishe hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom