Nkashilingi
Member
- Jul 21, 2009
- 8
- 0
Hello wana JF,
Happy new yr,
Kuna rafiki yangu wa kike jina z kaachana na mchumba wake, sasa imekuwa tabu kweli huyo mwanaume anamtangazia vibaya dada wa watu eti ohooo demu kicheche nk, sasa nauliza hivi nyie wanaume wenye tabia hizo kwani kuna ulazima gani wa kuanza kumsema vibaya x wako, unafaidika nn??? sana
sana unaonakena mshamba tu,
Ni hayo naomba kuwasilisha.
Happy new yr,
Kuna rafiki yangu wa kike jina z kaachana na mchumba wake, sasa imekuwa tabu kweli huyo mwanaume anamtangazia vibaya dada wa watu eti ohooo demu kicheche nk, sasa nauliza hivi nyie wanaume wenye tabia hizo kwani kuna ulazima gani wa kuanza kumsema vibaya x wako, unafaidika nn??? sana
sana unaonakena mshamba tu,
Ni hayo naomba kuwasilisha.