Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Wanaume wenzangu huu ni ushauri wa bure lkn sio kwa wale walioa Tayari.
Ni hizi unapokuwa kwenye relationship hakikisha kuna ka demu fulani unaendelea kukajali hata vocha za hapa na pale unakapa ushirikiano kanapokuwa na shida na endelea tu kuchati nae kwa namna yeyote ile.
Pia jifanye haupo happy kivile na mahusiano yako ili siku ukiachwa tu unakuwa na sub moja ya haraka sana kabla hujaanza kujiliza liza kwa X na kukutokea kama yale yaliomkuta jamaa wa Hamida.
Wanawake wanatumia sana mbinu kama hii siku unamuacha jamaa fasta anapewa usajili. Sasa wewe thubutu kujifanya huna mawasiliano na demu yeyote kwa vile upo kwenye mahusiano utalia kilio cha mbwa koko
Ni hizi unapokuwa kwenye relationship hakikisha kuna ka demu fulani unaendelea kukajali hata vocha za hapa na pale unakapa ushirikiano kanapokuwa na shida na endelea tu kuchati nae kwa namna yeyote ile.
Pia jifanye haupo happy kivile na mahusiano yako ili siku ukiachwa tu unakuwa na sub moja ya haraka sana kabla hujaanza kujiliza liza kwa X na kukutokea kama yale yaliomkuta jamaa wa Hamida.
Wanawake wanatumia sana mbinu kama hii siku unamuacha jamaa fasta anapewa usajili. Sasa wewe thubutu kujifanya huna mawasiliano na demu yeyote kwa vile upo kwenye mahusiano utalia kilio cha mbwa koko