Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
- Thread starter
- #101
"unajua kama ni dhambi ,shauri yako"
"mkeo akijua mi simo"
"Ukiwa na muda nistue nije"
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
"unajua kama ni dhambi ,shauri yako"
"mkeo akijua mi simo"
"Ukiwa na muda nistue nije"
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Vinakua vigeni vya MapenziVinavyosemaga hivi ni vi teenager..kuna kimoja nmehangaika kukivua..basi kabla ya kuzama ndani..kikataka nikihakikishie kua nakipenda na sikiachi..sasa kidume kweli time kama hiyo kichea kidogo kimesimama utatoa jibu la tofauti kweli? ni mwendo wa kukubali na kula mzigo kwa hasira...those days bhna.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja Ila naishia sebuleniWakuu,
Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..
Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?
Mimi;
- Kazime Taa
- Huyu hapa bodaboda muelekeze
Shusha nyingine unazozijua..
-Sasa hivi sijisikii kuwa kwenye mahusiano maana wanaume wote ni wale wale
-sina vocha baby
mi nakusikiliza weweWakuu,
Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..
Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?
Mimi;
- Kazime Taa
- Huyu hapa bodaboda muelekeze
Shusha nyingine unazozijua..
mi nakusikiliza wewe
You killed bossNikija utanipa nini.