Ukiachana na "golddiggers" kuna aina ya wanawake ambao mimi nawaita "marriage-diggers"

Wewe binti yako akitestiwa mitambo na kijana wako wa kiume akitesti mtambo wapi mizizi ya shingo itakutoka?
hii variable ni ngumu sana kuidhibiti.

Muhimu ni kuwapa maarifa vijana wajitambue. Kila mmoja na thamani ya utu wake. Hili somo nikiwapa na nikiridhika kuwa wamepokea, nafsi itakuwa huru kuhusu maamuzi yao.
 
hii variable ni ngumu sana kuidhibiti.

Muhimu ni kuwapa maarifa vijana wajitambue. Kila mmoja na thamani ya utu wake. Hili somo nikiwapa na nikiridhika kuwa wamepokea, nafsi itakuwa huru kuhusu maamuzi yao.
Kabisa mkuu , tena hasa hawa mabinti wewe kama baba una nafasi kubwa ya kuwatengeneza wasirubuniwe kizembe kwasababu njia zote unazijua.
 
Namba moja wanasumbua kinoma
Screenshot_20240228-133500.jpg
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Sisi wanaume ni wajinga sana
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Umemaliza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom