Nimefika hapa Tarime tarehe 19 mwezi huu nimetembelea vijiji vingi nimekutana na wasichana makundi kwa makundi wamekeketwa wengine wakitoka kukeketwa cha kushangaza wanapita kwenye vituo vya polisi bila kufanywa chochote, nimejaribu kuongea na baadhi ya wasichana waliokeketwa.
Wanadai bila kukeketwa hawawezi kuolewa. Hivi serikali ipo likizo kwanini imeshindwa kuzuia udhalilishaji huu kwa watoto wa kike.
Wanadai bila kukeketwa hawawezi kuolewa. Hivi serikali ipo likizo kwanini imeshindwa kuzuia udhalilishaji huu kwa watoto wa kike.