hehehehe! ila nimegundua kumbe watu wengi huchangia bila kusoma contents.
nasikitika ujumbe niliodhamiria haujafika bado.
sio hivyo ila kuna heading ukiona unaaza kujua kilichomo ndanihehehehe! ila nimegundua kumbe watu wengi huchangia bila kusoma contents.
Jijengee mazoea ya kusoma
Utawaacha wangapii?na hvi vyOo vyetu vya kushare?cha muhimu mpeleke kwa gyno aachekiwe vzur zaidi,then aanze doz mapema
nasikitika ujumbe niliodhamiria haujafika bado.
wala usimwache kaka,,cha muhimu ni kukaa nae na kumwambia ili mtafute solution,,mm mwenyewe nilishawahi kukutana na hilo tatizo,,shemeji yenu alikuwa anatoa harufu flani hivi ila nikajikaza nikamwambia na yeye akakubali kumbe ilikuwa ni UTI,,akajitibu na tatizo likaisha,,usimtenge kwa hilo tatizo