BIMBILISAMAJI
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 291
- 58
We lazima utakuwa kilaza, usikimbie tatizo u have to face the problem and find solution for it..huo ndo uwanaume sio kuvaa suruali tu..
Daaah kumbe watu huwa wanachangia kwa kusoma heading tuu!ndo maana hata matokeo yanazidi kuwa mabaya kwa miaka ya karibuni...
unavaa nini? unafanya
replacement baada ya muda gani? unafanyia usafi baada ya muda gani na
kivipi? unajitambuaje kama binti mtu mzima?
kuna mambo mengi ambayo yanasabisha mpaka NYETI itoe harufu kali tofauti
na ile natural.
(pengine unaona contents haziendani na kichwa). nilikuwa nimeona mtu mmoja analalamika kuwa wakifanya mapenzi mwenzi wake hutoa ute mweupe. niliona nalo niweke hapa japo ute wa candida huwa haunuki na ukinuka ujue kuna jambo la ziada. nafikiri nimeeleweka.unaposema fungus wa kandida anasababisha ute ambao haunuki unamaanisha nini?
ungeingia kwenye mtego wa kusoma kichwa tu ungenihuzunisha sana.kweli ukubwa dawa.sio hivyo ila kuna heading ukiona unaaza kujua kilichomo ndani
sasa ukisoma na jina loa mtoa uzi ndo kabisaa unajua hapa nitegem,ee hili sasa unakuja kumalizia hisia zako kwa kusoma ujumbe wote.
niliposoma ujumbe wote nilituliza presha manake mabaomu nlokuwa nimevaa hapo kwanza halafu ningekuta humu ndani ndio zile jumbe za akina fundenge hakya mama ungejua na ukaka na udada ungeishia hapo hapo
nani idiot?, dont say ''you'', please!!!
We lazima utakuwa kilaza, usikimbie tatizo u have to face the problem and find solution for it..huo ndo uwanaume sio kuvaa suruali tu..
Mpeleke hospitali idiot,mana c ajabu we ndo umemwambukiza,wanaume responsible walitupeleka na wakagharamia,aftr tht wakaendelea kula mzgo kw afya tele
Pia kuna kikwapa cha papuch jmn azngatie usaf aioshe vzur adi ndan pia kuna sabun za kiarabu kuoshea papuch inanukia udi mnunulie kwenye maduka ya warabu itamsaidia zaid awe msaf
hali ya hewa imechafuka huko ndani!mbona leo humu ndani nyuzi za sjui mapichuz kunuka nakutana kutana nazo sana kulikoni?!!