Kawaida hiyo mama ukiwa unakaribia siku zako au unamaliza, .
Dah........hii ni mpya kwangu........sijawahi kusikia........
kuna sababu yoyote inasababisha hii kitu.........?.......
Nina tatizo ambalo kwa sasa imekuwa ikinikosesha raha sana jamani. nikiwa nakaribia kublid uke wangu unatoa harufu ambayo sio nzuri kwa kweli. Hali hiyo pia inajirudia nikiwa kwenye siku za mwisho blid. Naoga asubuhi na jioni. Help me plz.