Uke wake unatoa harufu mbaya, Nimuache?

Dah........hii ni mpya kwangu........sijawahi kusikia........
kuna sababu yoyote inasababisha hii kitu.........?.......

Nina mdogo wangu alikuwa anasumbuliwa sana na hii kitu tulipompeleka hospital Doctor alisema ni kawaida ila tu harufu inazidiana na kulingana na usafi wa mtu, na pia harufu yenyewe inategemeana ni harufu gani kama ile ya uvundo kama wa samaki iliyooza hii si kawaida. Akatuambia kuwa siku moja kabla ya siku za mwanamke kuna kuwa na kaharufu fulani ambako si kawaida na wengine hutoa kabisa na ute fulani ulio Changanyikana na damu, ambapo inakuwa ni kiashiria na unakuta huyo mtu kesho yake anaanza kublid hivyo hivyo siku za mwisho unakuta MTU anamalizia kwa ute huo mzito ambao ukiganda ukichanganyikana na joto huwa na kaharufu kasiko pendeza. Dokta Preta unaweza kutusaidia vizuri maana madokta na ninyi mmezidiana.......
 
Last edited by a moderator:
Ni Jambo la kawaida inategemea na siku zako za hedhi na zenyewe ni ngapi!
Kikubwa jaribu kuwa msafi siku zote!!! Vinginevyo labda kama secondary infections out of beeding on right time.
Pole sana dada!
Pia omba mwone doctor alioko karibu nawe
 
pole sana nlishaacha kusaidia watu hapa jf lakini ntakusaidia sister...kwanza kuna baadhiya wanawake ambao kwenye mzunguko wa siku kuwa na harufu ni kawaida...na intofautiana kutoana na bacteria ambao wapo kenye uke, hormne znazo alishwa(kiwango) na hata hakula...lakini pia kwa upande mwingine harufu inaweza kuwa inasababishwa na infection ya bactria(U.T.I ikiwepo japo ni njia ya mkojo ndo inapata UTI), fangasi(vaginal candidiasis), Trachomona vaginailis(aginitis)..na maranyingi haya mgonjwa huwepo kukiwa na harufu n muwasho(irritation or burning sensation)...kwa kuhauri tu
1.) zingatia usafi wakati wa hedhi na wakati usiokwa kwenye hedhi
2.)angalia vyakula unavyokula(kuna nyuzi nyingi zinaeleza vyakula vya kula na afya ya mwanamke)
3.) Ni vizuri ukaenda hospitali nzuri hapo bongo..wakufanyie vipimo kama vya U.T.I(urinalysis) na High vaginal swab(HVS)
pole sana kwa tatizo lako
 
Nina tatizo ambalo kwa sasa imekuwa ikinikosesha raha sana jamani. nikiwa nakaribia kublid uke wangu unatoa harufu ambayo sio nzuri kwa kweli. Hali hiyo pia inajirudia nikiwa kwenye siku za mwisho blid. Naoga asubuhi na jioni. Help me plz.

Nafikiri kuoga ni kitu kingine na kujisafisha ni kitu kingine! Jitahidi kujisafisha kila wakati hasa kipindi hicho mashine inapofanya overhaul
 
Hii ni hatari, nenda hosp kwa kua sie wanawake tunashambuliwa sana bakteria hatari, kwa kweli nenda hospital hiyo sio hali ya kawaida, binadamu kwa nini utoe harufu ili hali upo hai??? chukua hatua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom