Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Hii habari imenifurahisha. UKAWA wanachafua hali ya hewa na utulivu wa raia.
Kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ni kuchafua hali ya hewa?!
Hii habari imenifurahisha. UKAWA wanachafua hali ya hewa na utulivu wa raia.
Hawawezi kiluziba jua kwa ungo.
Ni baada ya mkutano walioufanya Uvinza ambapo inadaiwa Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi Bw. Nyambabe kuwatukana viongozi wa kitaifa!
Nyambabe ambaye aliwekwa rumande yuko nje kwa dhamana!
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Kigoma amesema mikutano hiyo imepigwa marufuku kwa usalama wa viongozi wa Ukawa!
Source: Radio One Stereo.
Hawawezi kupambana na nguvu ya Mungu,UKAWA ni sauti ya wengi na ndiyo sauti ya Mungu
Hii habari imenifurahisha. UKAWA wanachafua hali ya hewa na utulivu wa raia.
Ujamaa syndrome. Hebu define lugha ya matusi ni kitu gani ?
Umevurugwa wewe Sauti ya Mungu waijua????
Yani watu wengine wanaropokwa utadhani wamekatwa vichwa vile.