Naona lile fungu la JK la vijana 46 kuonewa huruma limetoka tena.Wapi uimara wa UKAWA ulipo? UKAWA haipo tena. Hutaki acha
Mkuu hiyo familia yake anaipata wapi wakati tayari alishaitelekeza na kuendekeza undumilakuwili wa lumumba?Itavunjika familia yako omba omba UKAWA itabakia imara
Kweli mkuu na laana za aliowapiga mateke na mangumi wakati ni sawa na wazazi wake au hata babu zakeHakuna laana kubwa kama kula rambirambi. Laana hiyo ndiyo inamtafuna huyu mtoa mada. Huna afya ya akili wewe.
Wewe kawadanganye wasiyo kujua na kwa tabia zako utaendelea kulaanikaSijawahi kula rambirambi na sina sababu ya kufanya hivyo
Kuna mwenye tamaa kama hao kina nkurunzinza wenu tunao wa shuhudia?kweli nyani haoni kunduleNakubaliana na wewe Mkuu. Mbowe kaua UKAWA kwa tamaa zake
Ccm ni majangili na majambazi wakubwa wa rasilimali za taifaUkawa ni genge la matapeli tu,wametapeliana ruzuku yote imekwenda chadema
Nccr na cuf bara vimekufa,Nld imefutika kabisa
Wewe nenda kawabebe kina prince ndio kazi utakayo iwezaTatizo walikurupuka sana. Hawakufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuingia kwenye umoja huo
Kama Mungu aliiumba Tanzania na watanzania ili wawe masikini pamoja na resources zote alizowapa,hakika ccm utakuwa mpango wa Mungu.ila Huyu Magufuli si mpango wa Mungu maana haiwezekani mtu huyo huyo ulalamike umepokea nchi iliyooza na yenye majibu kila kona wakati nchi imeongozwa na chama chako hicho hicho unachosema kimekupa urais,chama hicho hicho unachotaka kiendelee kuongoza miaka nenda rudi,angekuwa mpango wa Mungu angejua kazi ya ccm Tanzania na kwa watanzania ni nn na asingekuwa analalamika na kuomba kuombewaCCM ni Mpango wa Mungu na Magufuli ni mpango wa Mungu. UKAWA wamekuwa kama wajenzi wa Mnara wa Babeli
Unakumbuka ile timu ilikuwa inaitwa mseto?Unaota mchana?
Hivi kwa Yanga kushinda jana basi Simba inakufa? Acha umaamuma wa siasa
Nilikuwa najiuliza sana kwa nini Madelu ana wafyatua sana makada wa chama na wake wa makada wenzie sasa nimepata jibu. Lizaboni jumapili kama hii SAA 7.20am tayari kesha amka na kupost Uzi mrefu wa kutunga,majungu na uzàndiki alioufikiri usiku mzima unadhani ana muda kweli wa kumpa mama yeyoo hi kitu hii?Wewe ni chumia tumbo,kiwavi mkubwa wa lumumbaView attachment 324512