UKAWA Wavunjika Rasmi

UKAWA Wavunjika Rasmi

Wachambuzi wa mambo walisema mwisho wa ukawa ni baada ya uchaguzi mkuu andiko limeshatimia ndiyo basi tena.
 
Nadhani tufikie mahali uongozi wa JF umchukulie hatua huyu Jamaa, kila siku anapest upuuzi mtupu hapa, sidhani kama tunahitaji mawazo ya kiupuuzi na kishenzi kiasi hiki kila siku, hana point hana jipya, hana la maana analoifahamisha jamii, inachosha. Mtu akija na facts anageuza mambo anasema sikusema hivyo, alishaumbuliwa hapa mara kibao! Kwanini JF wanamuacha aendelee kuharibu reputation ya jukwaaa? Alianza upuuzi kama huu Malaria Sugu Enzi zile kasha akaja mjinga mwingine kasha kuna huyu nae, I hate watu wa namna hi to the maximum, ukisema wewe yeye (wao) anasema SIASA zimeisha tufanye kazi, too low, mka akili za kipuuzi mno, IQ yenu na hao waliokutuma zinafanana, hebu njoo na vitu ambavyo vina maana at least mara moja hata kwa week basi.

Hey shtuka kuwa na akili, kuwa Katibu Mwenenzi doesn't mean kila pumba unaandika, you don't have time na marafiki zako, familia yako na ndugu zako? Every time ukifungua JF ni upuuzi wako tuu, una utaahira na ulimbukeni uliopitiliza aiseee, unaboa sana. Hebu jitahidi uje na vitu vya msingi, elezea basi hata sera ya CCM, elezea basi hata mpango mkakati wenu, elezea basi mtakavyosaidia wananchi! Kila siku unakuja na upuuzi tu hapa, No sio lazima kila saa au kila siku ufanye kitu kile kile jaribu kubadilika basi kidogo! Hebu na wewe tumia akii zako kidogo.

Next time njoo basi hata na facts hata kama sio reliable au qenuine lakini hebu njoo nazo ili uwe na uwezo wa kushawishi au badilisha style yako ya kuwasilisha mambo! Hata huyo anayewatuma naye hamnazo maana anadhani kuwa anawaongezea popularity wakati ndio mnazidi kupoteza.
 
Lowasa ataendelea kuwatesa mpaka mkome, yaani kwa Hali hii chimchim mnathibitisha kuwa lowasa bado ni mwiba kwenu. Kweli chimchim ni ileile ktk kufanya umburura. Hivi hamna kazi ya kuwafanyia Watanzania mbona mnaleta propaganda za kitoto. Mnakuja na hoja ambazo zinawachukuza watanzania wengi sana ila ninyi chimchim hamjui. Mnapo msema lowasa vibaya umaarufu wenu unazidi kushuka, maana Lowasa ni chaguo la watanzani walio wengi.
 
Wapi uimara wa UKAWA ulipo? UKAWA haipo tena. Hutaki acha
Naona bwana Mdogo huna kazi ya kufanya umeamua kujiajiri kupost ujinga huku kwa malipo haramu ya b7, haya bhana
 
Lowasa ataendelea kuwatesa mpaka mkome, yaani kwa Hali hii chimchim mnathibitisha kuwa lowasa bado ni mwiba kwenu. Kweli chimchim ni ileile ktk kufanya umburura. Hivi hamna kazi ya kuwafanyia Watanzania mbona mnaleta propaganda za kitoto. Mnakuja na hoja ambazo zinawachukuza watanzania wengi sana ila ninyi chimchim hamjui. Mnapo msema lowasa vibaya umaarufu wenu unazidi kushuka, maana Lowasa ni chaguo la watanzani walio wengi.
Lowasa atamtesa nani wakati hamsini zake zimefika mahakama ya mafisadi imeiva na yeye ni mhuska namba moja atatokea wapi.
 
UKAWA wa kwenye Katiba na UKAWA huu ni Mbingu na ardhi. !

Sijawahi kula rambirambi na sina sababu ya kufanya hivyo

Ni hakika Babu Duni pia anazidi kukoleza moto kwani chadema na Lowassa hawajamlipa baki ya 150 m...na Siif keshavuta 350 m anaenda matibabu India na Oman vijana Cuf wamenuna kwanini Seif anashiri mikutano na CCM pekeyake bila timu.Hakika kwa sasa ushirika uliyobaki ni kati ya Seif na Lowassa binafsi na kitaasisi kama ukawa kwa makusudi maalum.....ama kweli "ajizi nyumba ya njaa"

Ukawa imebaki ukiwa
Aibu yenu lb7
 
MACHOKO Wa Lumumba Wako KAZINI!!!! Yaani NDOTO Ilisemwa Na Hao Mabwana Zenu Wanaowakaririsha Kuwa Utakufa, Tena Kabla Hata UCHAGUZI Mkuu!! MATOKEO Umeendelea, Wakasema Utakufa Wkt Wa Kugawana KATA, MAJIMBO Na Nafasi Ya URAIS, Wanaume Wakasonga Tu, Wakaanza Kuwanunua BAADHI Ya VIONGOZI Na Wanachama, Wanaume Wakasonga Mbele Tu Hadi KAMPENI Zikaanza Na Uchaguzi Uliopokuwa Unakaribia, Wakwanza "MIPANGO YA YAO " Ili Kuiba KURA Za UKAWA!!! LKN Wapi Haikuweza, Kwani Zanzibar Ulishinda Na Kuporwa Ushindi Na Tanganyika Waliukaba Koo Kabisa!! ILA WATANZANIA Wanajitambua Vizuri Miaka Hii Ya Digital!!! NINYI PIGENI Tu Sanaaa Na Propaganda Zenu Wanawafuatilia Mno!! Mwisho Wake 2020, Sio Mbali Kabisa!! NAJUA Na MNAJUA Zile Ahadi Zenu Za Kisanii, Haziwezi Tekelezeka Before 2020!! KILA Kijiji Kituo Cha Afya, Kata Zahanati, Wilaya Hospital Ya Wilaya Na Kila Mkoa Referral Hospital!! TENA Zikiwa Na Waganga, Wauuguzi, Watumishi Wengine, Dawa Na Vifaa Tiba Pia Nyumba Za Watumishi Hao!!! KILA Kijiji Million 50 Na Kata 150!! KILA Mkoa VIWANDA Vidogo, Vya Kati Na Vikubwa, Ili Kutoa Ajira Kwa VIJANA WASIO Na Ajira!!! MAJI Safi Na Salama Kila Kijiji, MASHULE, Madawati, Waalimu, Nyumba Za Waalimu Hao Na Maslahi Bora!!! BARABARA Zote Ambazo Zina Vumbi Na Madaraja Duni KUJENGWA Kwa Kiwango Cha Lami!! MELI ZIWA Victoria, Tanganyika Na Nyasa!! KIVUKO Kule MAFIA, Pamoja Na. MELI KUBWA Ya Kisasa Ya Uvuvi (WAVUVI WA MAFIA) N.k. WATANZANIA Wanataka KUONA Hizi Ahadi Zikitekelezwa, Sio PROPAGANDA Na USANII Wenu, Wa Kujaribu Kuwatoa Ktk Mstari Wao Na Kuwahamishia Kufa Au Kuishi Kwa UKAWA!!! KWANI Ukawa Sio Wanaoongoza Tanzania, Hivyo UKAWA Ufe Au Uwepo, Sio Hoja Ya WATANZANIA Kwa Sasa!! HOJA Yao Ni KUONA AHADI Za KUONDOLEWA Kwa Kero, Shida, Matatizo, Mateso Na Changamoto Zao Zikipatiwa Solutions Na Wale Walioko MADARAKANI Na Waliahidi Wao Wenyewe!!! ACHENI KUWACHANGANYA WATANZANIA, Kwa KULETA HOJA Zisizo Na TIJA KWAO!!!!!! WATANZANIA Sio MISUKULE Yenu!!!!
 
Mtahangaika sana mwishowe chimchim mpate aibu bure , lowasa hatishiki na siasa zenu za kukurupuka mtaifilisi nchi hii kwa kumlipa lowasa ataposhinda huu upuuzi wenu mtakao upeleka mahakamani, maana anawasubiria kwa hamu sana mchukue hatuo hizo. Mmekuwa mkipoteza muda mwingi kumdhihaki eti fisadi,Mzee mtanashati lowasa kipenzi cha watanzania wenye nianjema na nchi hii wako pamoja naye kuhakikisha anakuwa na furaha muda wote. Vijana wa Lumumba chonde chonde muwafanyie kazi nzuri watanzania mkishindwa tena kufanya vzr safari hii hakuta tookea mtanzania mburura atakaye wasapoti tena.
 
Mkuu ingekuwa vema km ungetuwekea barua ya kujiengua kwa nccr na nld hapa jukwaani vinginevyo itakuwa ni uzushi tu, ingawa ningefurahi kuona kila chama kinajitegemea ili nirudi nilipokuwepo awali yaani.
 
Yani kuna watu wasiyo jitambua kabisa hivi mtu mzima mwenye akili zako timamu unaweza ubeza ukawa? Kubeza ukawa ni mtu anaye kubaliana na yaliyo tokea zanzibr au uganda
 
Ndugu yangu Lizaboni ukawa bado IPO kwa maana bado hatujamaliza mchakato wa katiba
 
Lengo la matumizi ya jina UKAWA limesha expire kama muungano wenyewe ulivyo expire,
 
ccm haiutambui ukawa imekuaje mmetabua kuvunjika kwake? Shut up your α$$
 
Hakuna la ajabu ukawa kuvunjika. Ule muungano hauko kisheria na japo mwanzoni uliundwa kwa ajili ya katiba mpya umewasaidia zaidi kwenye uchaguzi ambao umekwisha. Kila chama kina haki ya kujiimarisha kwa sasa.
 
Uhai na uimara wa chama cha siasa ni ofisi ya katibu mkuu. CCM ya Y.Makamba ni tofauti Sana na ya Kinana. Mbowe alishindwa kuelewa umuhimu wa Dr Slaa kama GS wa chama,alifikiri CDM ni kama danguro,linajiendea tu. Dr Slaa alikuwa ndo CDM,think tank ya chama,msimamizi wa shughuli na nidhamu ya chama. Leo hii hakuna nidhamu,kila mtu boss,hakuna ratiba ya vikao,mpango kazi,hakuna operesheni yoyote iliyobuniwa. Enzi ya Dr Slaa ilikuwa patashika....
TATIZO Lenu Ni MAZOEA Ya KUKARIRISHWA, Tokea Shule Ya Msingi Hadi Vyuoni!!! MATOKEO Yake Ndio Haya Sasa, Kila Kitu Ni KUKARIRI Tu!!!! HAYA Ww Tuambie Ni Chama Gani Ambacho Mara Tu Baada Ya UCHAGUZI Mkuu Kuisha, Wameendesha Hizo OPERATIONS Zako, Toa Mf. Walau Wa Chama Kimoja Tu Basi!!! ALAFU Hiyo NIDHAMU Mbovu Ndani Ya CHADEMA, Ww Unaipima Kwa Kigezo Kipi, Au Kukosekana Kwa Huyo Dkt Slaa Wenu Aliyemkiri Vichwani Mwenu, Kumekiathiri Nini Chama!!!?? MLIMNUNUA Na KUMTUMIA, Mkashindwa Kupata Matokeo Kulingana Pesa Miliyoitumia!!! SASA Mnajaribu KUTAKA Kujenga Zengwe Ndani Ya CHADEMA, Kuwa Kuonyesha Eti Kuna Ombwe La Uongozi Na Hali Ni Mbaya!!! MISUKULE Mmekaa Kusubiri Tu UNGA Maisha Yasonge!! ILA Watanzania Wanafahamu, Kama Serikali Ya CCM Ndio Inayojaribu Kuvuruga Vyama Pinzani, Mara Baada Ya Kutangaza Kuwa UCHAGUZI UMEKWISHA, Sasa Hivi Hakuna Ruksa Kwa Chama Chochote Cha UPINZANI Kufanya Mikutano Ya Hadhara Au Mikusanyiko Yoyote Na Pahala POPOTE Na JESHI La POLISI Wamepewa MAAGIZO Na KUHAKIKISHA Wanatekeleza!!!! SIJUI Kama Hilo Nalo Linahitaji Digirii Ya Chuo Kikuu Ambayo Imepatikana Kwa Kukariri Na Wizi Wa MITIHANI, Ili KUJUA Kuwa Serikali Ya CCM Imezuia Operations Na Mikutano Yote Ya Vyama Vya UPINZANI!!! ISIPOKUWA Wao Tu Wenye MAMLAKA Ya Kufanya Hivyo!!! SASA KUANDIKA HOJA Za KICHOKO Humu Kwa WATU MAKINI, Ni UCHOKO PIA!!!
 
Back
Top Bottom