Mwenyekiti wa Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta machafuko na kuvuruga amani ya nchi.
Mwenyekiti huyo ameeleza hayo katika mohojiano kama mgeni katika kituo cha matangazo cha UHURU Fm.Matefu amesema kuwa nchi za uholanzi na Omani zimekuwa zikitumika kufadhili shughuli mbalimbali za UKAWA kwa kutoka pesa ambazo zimekuwa zukiingizwa katika akaunti binafsi za viongozi wa umoja huo.
Amesema kuwa Mbowe na Slaa mpaka sasa kupitia akaunti zao binafsi wameshapokea kiasi cha Sh.1,700,000(Awamu ya kwanza) huku awamu ya pili na tatu jumla ikiwa ni Dola 850,000/=kutoka Uholanzi.Wakati kwa upande wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba kupitia akaunti yake binafsi amepokea kiasi cha dola 400,000/=kutoka Oman.
Ndugu Matefu ameeleza kuwa viongozi wa UKAWA wanatumika kama kijiko kwa manufaa ya watu wengine nje ya nchi kutaka kutuvuruga. Amesema kuwa Umoja huo hauna lengo zuri na nchi hii ndiyo maana pamoja na vikao vyote vyama usuluhishi bado wameendelea kuwa wagumu hawataki kumsikiliza yeyote.
Awali kabla ya hapo Ndugu Matefu kupitia umoja huyo alishazungumza na waandishi wa habari kuwaagiza Viongozi wa UKAWA ndani ya siku Saba wewe wamerudi Bungeni vinginevyo atamwaga Siri nzito zilizojificha nyuma ya Muungani humo.
Tanzania Kwanza ukiwa ni muungano wa vyama saba vya siasa katika Bunge la Katiba unajitambulisha kuwa ni umoja unaotetea maslahi ya nchi,kujali utaifa na kuangalia kwanza masuala muhimu ya kitaifa bila kujali tofauti zao kichama,kisera,kimtazamo na kiitikadi.
Huu ni ujinga kabisa hakuna nchi ambayo inaweza kutetea hii rasimu ya Warioba kwani kwa jinsi ilivyo itawanyima fursa ya kuendelea kutuibia kwa hiyo Chama ambacho kinaweza kufadhiriwa na kinafadhiriwa ili kuvuruga mchakato huu ni CCM kwani wanapingana na maoni ya wananchi ambayo kiuhalisia ni kikwazo kwa wezi wa rasilimali zetu.
haa haa mkuu magamba yameshikwa pabaya!Jamani mnisaidie pengine mi macho yangu. Awamu ya kwanza wametoa sh 1,700,000......Uholanzi watoe mil moja na laki saba..........mbona kama vihela kiduchu sana.......huu uongo haukupangwa vizuri.
Ungetuwekea ushahidi wa hizo transaction tungeamini lakini maneno matupu ni BURE, kuingiziwa Millioni moja na laki saba ndizo zisaidie kuvuruga Katiba!!!Lete Data kamili unaweza ukatushawishi. Harafu serikali iko wapi? Polisi wako wapi? Usalama wa Taifa wako wapi? DHAIFU!!!
Jamani mnisaidie pengine mi macho yangu. Awamu ya kwanza wametoa sh 1,700,000......Uholanzi watoe mil moja na laki saba..........mbona kama vihela kiduchu sana.......huu uongo haukupangwa vizuri.
Hizi ndo habari "nzito" kwa mujibu wa ccm!
wewe ni devil worshiper na ccm ndiyo devil mwenyewe, ccm tumewachoka na hatuwataki, mna tengeneza katiba ya mashetani ambayo haina uwajibikaji wala maadili kila Mtanzania anawalaani.Mwenyekiti wa Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta machafuko na kuvuruga amani ya nchi.
Mwenyekiti huyo ameeleza hayo katika mohojiano kama mgeni katika kituo cha matangazo cha UHURU Fm.Matefu amesema kuwa nchi za uholanzi na Omani zimekuwa zikitumika kufadhili shughuli mbalimbali za UKAWA kwa kutoka pesa ambazo zimekuwa zukiingizwa katika akaunti binafsi za viongozi wa umoja huo.
Amesema kuwa Mbowe na Slaa mpaka sasa kupitia akaunti zao binafsi wameshapokea kiasi cha Sh.1,700,000(Awamu ya kwanza) huku awamu ya pili na tatu jumla ikiwa ni Dola 850,000/=kutoka Uholanzi.Wakati kwa upande wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba kupitia akaunti yake binafsi amepokea kiasi cha dola 400,000/=kutoka Oman.
Ndugu Matefu ameeleza kuwa viongozi wa UKAWA wanatumika kama kijiko kwa manufaa ya watu wengine nje ya nchi kutaka kutuvuruga. Amesema kuwa Umoja huo hauna lengo zuri na nchi hii ndiyo maana pamoja na vikao vyote vyama usuluhishi bado wameendelea kuwa wagumu hawataki kumsikiliza yeyote.
Awali kabla ya hapo Ndugu Matefu kupitia umoja huyo alishazungumza na waandishi wa habari kuwaagiza Viongozi wa UKAWA ndani ya siku Saba wewe wamerudi Bungeni vinginevyo atamwaga Siri nzito zilizojificha nyuma ya Muungani humo.
Tanzania Kwanza ukiwa ni muungano wa vyama saba vya siasa katika Bunge la Katiba unajitambulisha kuwa ni umoja unaotetea maslahi ya nchi,kujali utaifa na kuangalia kwanza masuala muhimu ya kitaifa bila kujali tofauti zao kichama,kisera,kimtazamo na kiitikadi.
Mwenyekiti wa
Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa
ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema
leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta machafuko na kuvuruga amani ya nchi.
Mwenyekiti huyo ameeleza hayo katika mohojiano kama mgeni katika kituo
cha matangazo cha UHURU Fm.Matefu amesema kuwa nchi za uholanzi na Omani
zimekuwa zikitumika kufadhili shughuli mbalimbali za UKAWA kwa kutoka
pesa ambazo zimekuwa zukiingizwa katika akaunti binafsi za viongozi wa
umoja huo.
Amesema kuwa Mbowe na Slaa mpaka sasa kupitia akaunti zao binafsi
wameshapokea kiasi cha Sh.1,700,000(Awamu ya kwanza) huku awamu ya pili
na tatu jumla ikiwa ni Dola 850,000/=kutoka Uholanzi.Wakati kwa upande
wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba kupitia akaunti yake binafsi amepokea kiasi
cha dola 400,000/=kutoka Oman.
Ndugu Matefu ameeleza kuwa viongozi wa UKAWA wanatumika kama kijiko kwa
manufaa ya watu wengine nje ya nchi kutaka kutuvuruga. Amesema kuwa
Umoja huo hauna lengo zuri na nchi hii ndiyo maana pamoja na vikao vyote
vyama usuluhishi bado wameendelea kuwa wagumu hawataki kumsikiliza
yeyote.
Awali kabla ya hapo Ndugu Matefu kupitia umoja huyo alishazungumza na
waandishi wa habari kuwaagiza Viongozi wa UKAWA ndani ya siku Saba wewe
wamerudi Bungeni vinginevyo atamwaga Siri nzito zilizojificha nyuma ya
Muungani humo.
Tanzania Kwanza ukiwa ni muungano wa vyama saba vya siasa katika Bunge
la Katiba unajitambulisha kuwa ni umoja unaotetea maslahi ya
nchi,kujali utaifa na kuangalia kwanza masuala muhimu ya kitaifa bila
kujali tofauti zao kichama,kisera,kimtazamo na kiitikadi.
Mwenyekiti wa Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta machafuko na kuvuruga amani ya nchi.
Mwenyekiti huyo ameeleza hayo katika mohojiano kama mgeni katika kituo cha matangazo cha UHURU Fm.Matefu amesema kuwa nchi za uholanzi na Omani zimekuwa zikitumika kufadhili shughuli mbalimbali za UKAWA kwa kutoka pesa ambazo zimekuwa zukiingizwa katika akaunti binafsi za viongozi wa umoja huo.
Amesema kuwa Mbowe na Slaa mpaka sasa kupitia akaunti zao binafsi wameshapokea kiasi cha Sh.1,700,000(Awamu ya kwanza) huku awamu ya pili na tatu jumla ikiwa ni Dola 850,000/=kutoka Uholanzi.Wakati kwa upande wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba kupitia akaunti yake binafsi amepokea kiasi cha dola 400,000/=kutoka Oman.
Ndugu Matefu ameeleza kuwa viongozi wa UKAWA wanatumika kama kijiko kwa manufaa ya watu wengine nje ya nchi kutaka kutuvuruga. Amesema kuwa Umoja huo hauna lengo zuri na nchi hii ndiyo maana pamoja na vikao vyote vyama usuluhishi bado wameendelea kuwa wagumu hawataki kumsikiliza yeyote.
Awali kabla ya hapo Ndugu Matefu kupitia umoja huyo alishazungumza na waandishi wa habari kuwaagiza Viongozi wa UKAWA ndani ya siku Saba wewe wamerudi Bungeni vinginevyo atamwaga Siri nzito zilizojificha nyuma ya Muungani humo.
Tanzania Kwanza ukiwa ni muungano wa vyama saba vya siasa katika Bunge la Katiba unajitambulisha kuwa ni umoja unaotetea maslahi ya nchi,kujali utaifa na kuangalia kwanza masuala muhimu ya kitaifa bila kujali tofauti zao kichama,kisera,kimtazamo na kiitikadi.
Mwenyekiti wa Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta machafuko na kuvuruga amani ya nchi.
Mwenyekiti huyo ameeleza hayo katika mohojiano kama mgeni katika kituo cha matangazo cha UHURU Fm.Matefu amesema kuwa nchi za uholanzi na Omani zimekuwa zikitumika kufadhili shughuli mbalimbali za UKAWA kwa kutoka pesa ambazo zimekuwa zukiingizwa katika akaunti binafsi za viongozi wa umoja huo.
Amesema kuwa Mbowe na Slaa mpaka sasa kupitia akaunti zao binafsi wameshapokea kiasi cha Sh.1,700,000(Awamu ya kwanza) huku awamu ya pili na tatu jumla ikiwa ni Dola 850,000/=kutoka Uholanzi.Wakati kwa upande wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba kupitia akaunti yake binafsi amepokea kiasi cha dola 400,000/=kutoka Oman.
Ndugu Matefu ameeleza kuwa viongozi wa UKAWA wanatumika kama kijiko kwa manufaa ya watu wengine nje ya nchi kutaka kutuvuruga. Amesema kuwa Umoja huo hauna lengo zuri na nchi hii ndiyo maana pamoja na vikao vyote vyama usuluhishi bado wameendelea kuwa wagumu hawataki kumsikiliza yeyote.
Awali kabla ya hapo Ndugu Matefu kupitia umoja huyo alishazungumza na waandishi wa habari kuwaagiza Viongozi wa UKAWA ndani ya siku Saba wewe wamerudi Bungeni vinginevyo atamwaga Siri nzito zilizojificha nyuma ya Muungani humo.
Tanzania Kwanza ukiwa ni muungano wa vyama saba vya siasa katika Bunge la Katiba unajitambulisha kuwa ni umoja unaotetea maslahi ya nchi,kujali utaifa na kuangalia kwanza masuala muhimu ya kitaifa bila kujali tofauti zao kichama,kisera,kimtazamo na kiitikadi.
Mkuu SIFONGO
Hayo Ni makosa ya kiuchapaji SAHIHI ni Tsh.Bilioni moja na milioni mia saba(1.7Billion)