Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Yaani ni wale wale. Mimi nasema waache kutoa maneno tu waje wa vitendo. Waanzishe maandamano moshi maana wote wanatoka huko. Halafu kipondo kinaanzia huko. Hapa hakuna kumchekea mnywa mbege.Hahahahahah jamaa zetu awa waoza meno, hawaamini kama watanzania hawawataki. Waongeaji wakuu wote wawili wanywa mbege