UKAWA wamjibu Magufuli kuhusu kutofanya siasa, wasema wataendelea kwa kuwa katiba inawaruhusu

Nasikia wengine wanaruhusiwa wawe na mahafali lakini kama kule dodoma kuna ugonjwa ambao ulikuwa unahatarisha mkusanyiko wa CHASO lakini siyo BUNGE!!!!
Bungeni pako hygienic ! Genge la CHASO huwezi kulinganisha na BUNGE!
 
cec2622fe79a2ad255d0234affea29bc.jpg
 
Kususa ni tabia ya kike.

Usukumani mwanaume anayesusa Susa hudharaulika sana.

Huenda ndio sababu wabunge wa chadema kanda ya ziwa wamepigwa chini
 
Bungeni pako hygienic ! Genge la CHASO huwezi kulinganisha na BUNGE!
Sioni mantiki ya ulichoandika zaidi ya kujifurahisha tu kama wale waliopiga marufuku mkutano kwa sababu zisizo na mashiko .
 
wanasiasa watakaokaidi agizo la raisi wanatakiwa wapigwe hasa tena sana.....!!! bajeti ipo kwenye utekelezaji wanajipanga kukwamisha si wangoje tuone result ya bajeti af ndo waongee....!!! wamejivika ngozi ya kondoo lakini ni majoka makubwa...maghufuli fumua yeyote atayekuletea zengwe alaaa, kwanza wote wanaokupinga hawakukupigia kura sisi tuliokupigia tupo nyuma yako....
 

Mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni amepinga vikali kitendo cha Magufuli kuzuia watu kusema amesema unapozuia watu kusema unasababisha watu kusema kwa vitendo na wakisema kwa vitendo vitendo hivyo vinakuwa vya uvunjifu wa amani, Amesema nchi ziizojaa vurugu ni nchi ambazo marais wake walikuwa wanajifanya wababe na watawala kujifanya wana mamlaka zote

Ameshangaa pia kiongozi huyo aliposema kuwa atawalinda marais wastaafu kwani marais wastaafu wanalindwa na katiba wala sio kauli zake, amemtaka wasaidizi wake wamsaide aache kuropoka kwani kauli zake zinalifarakanisha taifa.

Naye mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia amesema Magufuli amewekwa na katiba ya Tanzania hivyo anshangaa yeye mwenyewe anapoipinga katiba na marais wengine wasingefuata katiba kama yeye anavyofanya leo hii asingekuwa rais wa Tanzania na kwamba hawezi kukataza siasa kwa kuwa ipo kikatiba na vyama vipo kisheria.
Ameongezea bila mgongano wa mawazo na demokrasia hakuna maendeleo hivyo.

Naye Peter Msigwa amesema Magufuli anaonekana anapata ushauri wa kijeshi kuliko wa kisiasa, amemtaka kutumia ushauri wa kisasa kwani vyama vya upinzani vina wafuasi wengi na haitakiwi kutumia nguvu kama anajua maana ya siasa.

Amesma ni kweli nchi ilikuwa na ufisadi na ukosefu wa nidhamu nchini kutokana na utawala wa Kikwete kuwa dhaifu lakini pamoja na kuwa na nia nzuri ya kuondoa vitu hivyo vyote havimpi uhalali wa kufanya mambo bila kutumia sheria na taratibu zilizowekwa na wanamtaka avifanye kwa kutumia sheria.

My Take
Nimemuona Mbowe yupo smarter na wiser kuliko Magufuli japokuwa yeye hana Phd, achukue ushauri hawezi kutawala kwa namna hii, 2020 mbali sana na ameshaanza kujutia urais ndani ya miezi 8


Inasikitisha sana kuona kwamba JPM probably has a good vision for this country lakini hajachakatua njia na mikakati sahihi ya jinsi ya kufika huko anakotaka kwenda, madudu aliyoyakuta mezani yamemchanganya ndio maana wakati mwingine anajuta kugombea nafasi hiyo, na juzi akasema labda kipindi kimoja cha miaka 5 kinatosha!
 
Tangu, nawafahamu wapinzani, na sometime nilikwa shabiki wao, sijawahi kuwasikia mahali popote wanaposema serikali iliyoko madarakani in la maana. Siku zote nawasikia ni watu wakutafuta udhaifu. Hawako balanced. Ingekuwa wanachotuaminisha ndio kweli, Tanzania isingekuwa hivi ilivyo leo. Hata walimu wetu wa demokrasia nchi za magharibi inapofika kwenye ukweli wemye maslahi ya taifa huwa wanashirikiana na utawala uliopo kujenga nchi. Lakini hawa wa kwetu the opposite, nadhani hili neno opposition wing wanalitumia vibaya, ama kwa kutukujua ama kwa kujua. na kama ni kwa kujua sielewi ni kwa maslahi ya nani!!!. Kiwango cha demokrasia ndani ya nyama nya upinzani ni finyu mno. Si CUF wala CDM, sioni viongozi wa juu wakifurahia mchango wa mawazo mbadala, na ndio maana akitokea mtu anataka kuchuka madaraka kwao anakuwa adu namba moja. On yaliyotokea CUF mwenzao alipoutaka ukatibu mkuu, wakamfire, ona CDM, zito alipoonyesha dalili za kuutaka uungozi wa juu akawa adui namba moja. Wakipewa nchi hawa ni wabaya kuliko CCM.
 
Tangu, nawafahamu wapinzani, na sometime nilikwa shabiki wao, sijawahi kuwasikia mahali popote wanaposema serikali iliyoko madarakani in la maana. Siku zote nawasikia ni watu wakutafuta udhaifu. Hawako balanced. Ingekuwa wanachotuaminisha ndio kweli, Tanzania isingekuwa hivi ilivyo leo. Hata walimu wetu wa demokrasia nchi za magharibi inapofika kwenye ukweli wemye maslahi ya taifa huwa wanashirikiana na utawala uliopo kujenga nchi. Lakini hawa wa kwetu the opposite, nadhani hili neno opposition wing wanalitumia vibaya, ama kwa kutukujua ama kwa kujua. na kama ni kwa kujua sielewi ni kwa maslahi ya nani!!!. Kiwango cha demokrasia ndani ya nyama nya upinzani ni finyu mno. Si CUF wala CDM, sioni viongozi wa juu wakifurahia mchango wa mawazo mbadala, na ndio maana akitokea mtu anataka kuchuka madaraka kwao anakuwa adu namba moja. On yaliyotokea CUF mwenzao alipoutaka ukatibu mkuu, wakamfire, ona CDM, zito alipoonyesha dalili za kuutaka uungozi wa juu akawa adui namba moja. Wakipewa nchi hawa ni
 
Kafeli kwa lipi au kwa sababu amekutumbua? Na bado waliokuwa wanakula hela za watumishi hewa wanasubiri kushitakiwa. Na nyinyi mliofoji vyeti. Chuki yenu itaongezeka maradufu
Naendesha maisha yangu sio kwa cheti bali kilichopo kichwani mwangu, we kumbe ulienda kufuata cheti shule ndio maana bongo lala.
NAjua ukweli unaujua, ila kwa vimasilahi unadhihaki haki za watanzania walio wengi. Waambie wakubwa zako wanaokutuma kuwa hatutaki wabunge wetu wafanyie maamuzi mafichoni na watuletee tu inayoitwa taarifa-tunataka kujua wanafikiaje maamuzi hayo. Pia waambie watoto wetu sio vilaza ndio, wanajitambua ndio maana waliziona oportunity za kusoma UDOM.
Na pia Vyama viko kwa mujibu wa katiba na kazi ya vyama ni kufanya siasa, tena majukwaani, vyumbani hata hotelini.
 
Back
Top Bottom